Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hajiamini tena kapagawa..!!Niliwahi kusema humu siku moja. Unawezaje kutoa video tatu kwa mwezi mmoja ukiwa msanii mkubwa kama diamond! unakimbia kwenda wapi, unamwogopa nani, hujiamini au hili ni tatizo kwa diamond.
Mimi nadhani huu ni wakati wake wakusikiliza ushauri kutoka kwa watu asirudie makosa kama, single ya Fire bongo la single wakati naitafakari na kuenjoy single hiyo mara nikaona tena video ya I miss you ghafla nikaona Eneka yaani yote hayo.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kazitafute nawewe ukipata nitagAnazitafuta izo deal cyo kwamba wanamfata
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Na wewe unaaminiArudi kwa wagenga - mwenda tezi na omo marejeo ngamani
Imekuwa too muchNa wewe umeingia kwenye mtego huo huo.
Hoja yako ya msingi ni ipi pafyumu bei ya juu umelalamika, kawaletea karanga bei chee na penyewe unalalamika so tukuweke kundi ganiAliyemshauri biashara ya karanga sijui ni kilaza gani. Mwngine akamshauri biashara ya pafyum tena jina bayaa eti chibu pafyum why not platnumz pafyum , zaid ya hapo pafyum inauzwa laki moja, whaat! Wakat mashabiki wake wengi tunaish Tandale sasa hiyo pafyum ya laki moja tunainuaje. Simuonbei vibaya lakin biashara zote hz 2 zitafeli kama kifo cha sasa tel.
Wabongo bana sio wa spoti spoti [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hoja yako ya msingi ni ipi pafyumu bei ya juu umelalamika, kawaletea karanga bei chee na penyewe unalalamika so tukuweke kundi gani
Post sent using JamiiForums mobile app