Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Wasipofanya hivyo utafanyaje?acha kuhusisha chadema, hii movement haina uchama.
mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa, nimechangia kwenye patition ya kuwata BET wam-disqualify diamond kwenye tuzo.
Binafsi wanapoteza credibility katika siasa zao, haiwezekani makamu Mwenyekiti wa Chama aliaminiwa na Chama chake kugombea urais unahangaika na mwanamziki sababu tu alikuwa upande flani kwenye kampeni,Dogo ana wafuasi wengi sana na mashabiki wengi sana kumharibia dogo mashabiki wake hawafurahii pia,so Chadema ni genge la wahuni !Niliwahi kusema na narudia tena kusema leo kuwa, "CHADEMA" ni kikundi cha "wahuni".
Sasa hivi hawa wahuni wameacha kufanya siasa zenye tija kwa Watanzania, wanafanya siasa za kuwachafua watu.
Diamond Platinumz akiwa kama Mtanzania huru ana haki na uhuru wa kuwa mwanachama wa chama chochote kile cha siasa.
Ni haki yake kikatiba kuwa Mwana-ccm na ni haki yake kui-support ccm apendavyo.
Sisi tunapaswa kumpima Diamond Platinumz kwa muziki wake na siyo vinginevyo.
I'll be so surprised if BET organizers will comply with these cyber bullies and ditch Diamond Platinumz.
These so called themselves, "Movement #Change Tanzania" are nothing but cyber bullies and political hooligans.
I believe BET is not a political organization. BET will discerningly and wisely rule out this matter and send a strong message to those cyber bullies who want to tarnish the Image of a talented African artist for their own political agenda.
#IstandwithDiamondPlatinumz
Mimi nmemchukia nani?Post zako nyingi umekua ukilalamika kuhusu chuki za watu dhidi ya diamond lakini kumbe umeweka matabaka kua chuki dhidi ya watu fulani ni halali, ila chuki za namna hiyo hiyo hazipaswi kuoneshwa kwa kundi fulani.
Wanaijeria wenyewe watashangaa umbumbumbu! wa wadanganyika na Katuni la jay z...na yale majimama yanayo sapoti ushoga.Kuna watu ni hopeless kabisa, nini wanapata kwa kumsagia kunguni huyo jamaa....watanzania tumezoea kuwa pamoja kwenye ishu zenye maslahi kwa nchi na watu wake, tukirudi huku ndani ndo tunacharuana wenyewe kwa wenyewe....
Kama wana associate ile petition na CHADEMA basi diamond nae ni ccmna mimi nimemuuliza hivyo nasubiri jibu
Ni kwavile tu huna akili. Ungekuwa nazo ungejua kwamba inchi kwasasa haina umoja na kilicho poteza umoja ni wapumbavu kama weweHizi ngonjera zenu za kutekana na kuuwana tumeshazichoka mnahatarisha usalama wa nchi halafu mnataka kuchekewa ...mnataka democracy lakini hamuihubiri...Naona sawa acha mpigwe.
Kwa sasa mmehamia kwa kijana mmoja mdogo anayejitafutia ridhiki kwa mikono yake! Kesho mtatafuta kasababu kengine?
Watu wa hiko chama chenu nawaonaga kama mmechanganyikiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alfu diamond akikosa hizo tuzo utafikiri ccm ndio inang'oka madarakaniAombe radhi ya nini, acha akose hizo tuzo hakuna kunyenyekea hao Wanasiasa, wanatumia tu mgongo wa Diamond kujionesha kwamba wapo.
Wala Mondi asife moyo maana fitina zitakuwepo tu sikuzote.
Wanavyochachamaa na Diamond utasema yupo Msanii yeyote waliyewahi hata kumsupport akafika mbali wakajivunia......kazi rahisi kwao ni kusambaza chuki tu lakini kujenga hakuna.
Sekikali ya chama gani?Serikali
Too low to be in JfTatizo la makamanda uchwara ni umaskini..
Sadala hana shida wangempa pesa angewapigia Show moja matata tatizo lao hata ofisi tu makao makuu inawapa tabu mpka wakae chini ya muembe...
Wenzao ccm wametoa pesa yeye haangalii mtu usoni anaangalia pesa, ndio inamlisha mama yake na wanae..
Sasa makamanda walitaka wapigiwe Show bure πππ
Njoo tuuze wote shogangu...maana inalipa bala!..nikuifluence kwa kipi ..nimuinfluence nan .kwa kitu gani sasa ..!hahaha ..pole zako...we endelea kuhate kwa ngv zote mie walaaa! Nahesabu tu mapene huku!Kazana usidhani wadada wenzio wanauza kama wewe hatununui sisi
Na vipi ile connection yako unakatika matako mabayaaa yana makovu ππ
Sijui ulikuwa unamdangia nani maskini
Kipindi hicho unajiita manengelo saivi eti umekuwa influencer ππΎππΎππΎ
Hawafai kabisa hawa broiler..Binafsi wanapoteza credibility katika siasa zao, haiwezekani makamu Mwenyekiti wa Chama aliaminiwa na Chama chake kugombea urais unahangaika na mwanamziki sababu tu alikuwa upande flani kwenye kampeni,Dogo ana wafuasi wengi sana na mashabiki wengi sana kumharibia dogo mashabiki wake hawafurahii pia,so Chadema ni genge la wahuni !
Eti wewe mzee khaWewe mzee!
Diamond kawadharauje wenzie? Kuwambia wakazane waache uvivu, wawe wabunifu ili kufika alipo yeye ni dharau?
Kwa hiyo wakimchukia kama hivi hao wenzie ndio watafika alipo yeye na kuzidi?
kama hatutaki kuamini tunataka kujuaAtapata tu....amini hivyo
Diamond kapitia zaidi ya hayo! Tena na ma giant,Aise mswahili siyo mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kunguni inasagwa hapo twitter kwahuyo bwana siyo ya mchezo
magunia kwa magunia
Total mass destruction siyo poa kabisa kama una moyo wa betri hiyo vita ni kali sana wallah
Hivi ile petition umeiona?mpaka sasa wamesaini watu elf 12?staki kuamini hao ni chadema tuWanachi wapi?
Kina kigogo?
Chama cha majambazi CCMSekikali ya chama gani?
Braza mpo seriousCan you add your signature? [emoji3578]
23,188 people signed and won this petition
BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)chng.it
Kuna mambo mengi ya msingi sana kuliko hilo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alfu diamond akikosa hizo tuzo utafikiri ccm ndio inang'oka madarakani
Hawa jamaa ni hopeless