Unamaanisha wanamuziki wote walikuwa wame side sisiem lazima mule nao la sivyo waje upinzani? Au wengi walitoka wakakemea uonezi uliokuwa unafanyika?Akome kujiingiza Kwenye siasa za majitaka.
Ndio tabia ya watu masikini hiyo.Punguza hasira utakabwa na majini usiku eti
Kama una maslahi au mapenzi kwa diamond usidhani wote ni hivyo
Kuna watakaomchukia hata kama hawana sababu na hayo ndo maisha yalivyo
Why force otherwise?
Tulia bwana
Ni wajinga kweli hawa! Hata wa wakifika laki 1 hilo ni tone tu kwa mashabiki alio nao mondiNguvu ya umma ya watu 15K sio? [emoji23][emoji23]
Huo ni wivu wao tu.Nashindwa kujibu ndio au hapana maana sina taarifa za uhakika..
Hata hivyo Mkuu kupanga ni kuchagua na kila mtu ana uhuru wa kuchagua namna anapendelea kuishi.
Kama Diamond alivyotumia uhuru wake kupanga kukaa kimya ndivyo wakulungwa walivyoamua kutumia uhuru wao kumsagia kunguni.
Mimi nimechagua kutumia uhuru wangu kuheshimu maamuzi ya pande zote 2.
Wasiofahamika ndio walisababisha Lisu aende ubelgiji bila viatu maana hakuamini kma atapata kura chini ya 20%Alijitoa katibu sembuse wewe guluguju usiefahamika? Who cares?
SASA wewe π π ngoja nikucheke Kwanza .......ulizani akiwapa pole ndio watarudi au?? Acha upumbavu mwepesi mwepesi unaongea pumba na mashudu kabisa au Kwa sababu jamii forum hakuna video kamera ......kutekwa Kwa azzor au Ben saanane diamond anahusikaje hapo ?? Kwamba walikuwa wabeba spika au mafundi mitambo wake au mameneja wake au chawa wake??....nakuuliza mjinga WA akili unatumia siasa kumuhusisha diamond platnumz kisa alitumika kama mshereheshaji kwenye kampeni za ccm na akachukua pesa yake kuisaidia jamii yake na yeye mwenyewe Kosa lake liko wapi hapo au sababu CCM walishinda kweliπππ.......yaani Mimi ndio ningekuwa diamond platnumz mngejuta manina zenu....ningegombea ubunge kabisa ili mkione tena Kwa tiketi ya CCMHuwezi kutaka support upewe wewe tu......wakati wakina Ben Saanane na Azory Gwanda wanatekwa.....unashindwa hata kutoka kuwapa pole wazazi wake
Bahati nzuri system haiwezi kuruhusu chama kama hichi kikamate dola labda kizazi hiki cha kina Lisu kitowekeUnamaanisha wanamuziki wote walikuwa wame side sisiem lazima mule nao la sivyo waje upinzani? Au wengi walitoka wakakemea uonezi uliokuwa unafanyika?
Jueni kila mchuma janga hula na wa kwao. Hiki chama kikikamata dola ni zaidi ya awamu ya 5 . Yaani ni cha kuwa makini nacho
Hizi ni issue tofauti kabisa na hii myazungumzia. Katika hiki diamond hajahusika moja kwa moja, na ni haki yake kama binadamu kuchagua upande anaoutaka yeye.Yani leo hii umuhumu mond kwa ku side na CCM, kwahiyo akihamia CDM na wengine waanze kulalamika?Sina hakika lakini inaweza kuathiri!
(Tazama R Kelly na TUHUMA za ngono au Michael Jackson)
Sometimes mitandao ina cost personal life
Katika nchi yenye watu zaidi ya 60M, nguvu ya umma ipimwe kwa watu 15K? Tena wanahangaikiwa kufikiwa kwa Zaid ya masaa 24?Wanatosha sana hao
Nilivyoona hiyo avatar yako ya dikteta nimekupuuza kabisaAstaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu
Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.
Wajinga tu.Ni wajinga kweli hawa! Hata wa wakifika laki 1 hilo ni tone tu kwa mashabiki alio nao mondi
Na wewe ni keyboard matakoKeyboard warrior.
Achana na hao wanajamhuri ya Twitter ndugu.Diamond kajipandisha na atakaa hapo...
Hizi ni issue tofauti kabisa na hii myazungumzia. Katika hiki diamond hajahusika moja kwa moja, na ni haki yake kama binadamu kuchagua upande anaoutaka yeye.Yani leo hii umuhumu mond kwa ku side na CCM, kwahiyo akihamia CDM na wengine waanze kulalamika?
Yani kimsingi diamond hana makosa yoyote yanayoweza kuthibitika kisheria popote pale.
πΏπππππππ πππ ππ ππππ πππ ππ π π πππππππ π ππππππ π ππππππππ.Yaani mtu akitekwa mfano roma alivyotekwa wewe unaona hicho kitu ni positive?
Ni bora mara kumi angekaa kimya kuliko kujipendekeza kwa watesi kwa kuwatungia nyimbo za kuwasifia huku akijua hawatendi haki! By the way sisi hatukaa kimya tulilaani humu jamvini japo kwa kutumia id fake.Ikiwa nyinyi mliogopa na hamkuwa tayari kujitokeza hata pale ambapo viongozi wenu waliwataka, diamond ni nani hata ajitokeze ikiwa alikuwa na vitu vingi vya kupoteza? Waliojitokeza kisha wakashikwa na serikali,mmewaenzi vipi?
Kufanikiwa kwa Mond hakuhusiani kabisa na swala la support ya wanaharakati njaa, ndiomaana pamoja na kumsagia kunguni dogo Mond bado hamuwezi kumfanya ROMA ashinde hiyo tuzo.
Kila mtu ana uhuru wake wa kuchagua, wanamlazimisha jamaa awe upande wao. Wengine woote hawajawaona na walipiga makampeni tena mikoa yote ila wakaona kwa Diamond ndo pana uzito.Hizi ni issue tofauti kabisa na hii myazungumzia. Katika hiki diamond hajahusika moja kwa moja, na ni haki yake kama binadamu kuchagua upande anaoutaka yeye.Yani leo hii umuhumu mond kwa ku side na CCM, kwahiyo akihamia CDM na wengine waanze kulalamika?
Yani kimsingi diamond hana makosa yoyote yanayoweza kuthibitika kisheria popote pale.