Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Unamaanisha wanamuziki wote walikuwa wame side sisiem lazima mule nao la sivyo waje upinzani? Au wengi walitoka wakakemea uonezi uliokuwa unafanyika?Akome kujiingiza Kwenye siasa za majitaka.
Jueni kila mchuma janga hula na wa kwao. Hiki chama kikikamata dola ni zaidi ya awamu ya 5 . Yaani ni cha kuwa makini nacho