Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpinzani wake naye ana sifa kama hizoNa mbaya zaidi Diamond plutnumz hawezi kufanya hivyo kwa Mpinzani wake.
Burna boy simjui vizuri, hilo silifahamuKwani mpinzani wake naye ana sifa kama hizo
Hapa Babu Taletale arudi kilingeni Paige nyanga, atupangulie hili.🏃♂️Astaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu
Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.
Aombe radhi kwa kosa gani?mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Ndio alionesha kusimama na wananchi police walipokuwa wanawonea
Wapumbavu hawalijui hiloKitu ambacho Mr Plutinumz hakukijua kwamba ukiwa music super star unakua public property by default
waliokupandisha wanaweza kukushusha wakiamua
The hard headed never learns
Basi kama hana kosa na tuzo hii ndio hawezi ipata!Aombe radhi kwa kosa gani?
Dogo hata mm namkubali ila nimesign petition ili asirudie makosa ya kusupport ukandamizajiUkisikia uchawi ndio huu. Sijawahi kuwa fan wa huyu dogo ila this isn't fair aisee. Dogo anapambana sana sana, na anahitaji support sio huu uchawi walah!!
Hizo ndio tabia halisi za wana chadema. Na hapo hawajapewa nchi!Hata mm sijapenda jamani..hapana aisee lets be positive kwa huyu dogo..khaaa.! Too much
Mkubali wewe na maamakokwangu mimi IT'S OFFICIAL, DIAMOND NI MORE THAN AN ICON kwa TANZANIA.....
Nazidi kumkubali sasa...
Mgongoni kwakoeeeDiamond kajipandisha na atakaa hapo...
Ali influence jambo gani baya kwa jamii?Kila mtu anapambana..
Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Hakuna anaemshusha hapo,Kitu ambacho Mr Plutinumz hakukijua kwamba ukiwa music super star unakua public property by default
waliokupandisha wanaweza kukushusha wakiamua
The hard headed never learns
Hiyo ni kazi ya kina Lisu siyo kazi ya diamondHuwezi kutaka support upewe wewe tu......wakati wakina Ben Saanane na Azory Gwanda wanatekwa.....unashindwa hata kutoka kuwapa pole wazazi wake