Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili

Huwez sided na udhalim half ukabaki salama

Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi

Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
 
Kila mtu anapambana..

Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Mavvi sana we jamaa tena mabichi ya mtu mzima...
 
Kupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.

Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.

Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .

Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Usilazimishe kila mtu awe shabiki wa chadema
 
Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili

Huwez sided na udhalim half ukabaki salama

Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi

Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Usifosi watu wawe upande wako, mond hashuki.
Yaani HATERS ndio motive yake ya kupiga kazi zaidi...
Anahitaji fans ili afanikiwe ila HATERS ili afanikiwe zaidi.
 
Kila mtu anapambana..

Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
𝙷𝚒𝚟𝚒 𝚞𝚗𝚊𝚒𝚔𝚒𝚛𝚒 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚘𝚔𝚒𝚘𝚗𝚊 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝚗𝚎𝚐𝚊𝚝𝚒𝚟𝚎 𝚗𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚣𝚒𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚔𝚒𝚘𝚗𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚘?
 
Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili

Huwez sided na udhalim half ukabaki salama

Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi

Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Nakazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom