Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Uchawi tu kwakweli, kwanini kulazimishana kuamini unachoamini? Hizi siasa mavi mavi sijui zinatupeleka wapi!!!

Wamuache huyu dogo kwakweli, kwa namna anavyopambana hii tuzo anastahili kabisa.
Wanamuziki ganga njaa waliingizwa mkenge na magufuli,akawatuma kutukana our fellow citizens kutokana na mitazamo yao kisiasa,akawatuma na public figures wengine kugeuka wauaji wa wapinzani wake,akawatumia hadi viongozi wa dini kutumia mahubiri yao kuwatukana na kuwakashifu wapinzani wake,kwa hiyo issue haianzii na kuishia kwa diamond tu,bali hadi kwa askofu pengo na benson banna,wala si kwa gwajima tu,bali hata sheikh mkuu wa dsm naye alijiunganisha na ukatili ule kupitia uungaji mkono wake,sasa rafiki wa adui yako ni adui yako,alimsapoti adui wa watu,sasa watu wakimchukia yeye wajinga wanalalamika!! Huo ndiyo unafiki.
 
Chadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
If you go against the pillars of our society pretending you exercise your liberty in the name of democracy

We won't tolerate u .

We will crucify u ,so do mwendazake .

The tandale kid was the huge supporter of authoritarian regime of mwendazake .

Liberty is also to vote for burnaboy as we wish [emoji1],it's ain't the matter of patriotism ,

Patriotism is for the patriotics not for the dictator's henchmen.

From ntatilyabashashi with love
 
mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe

hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Naam ajitokeze, mdogo mdogo akina Roma wataheshimika
 
Ila hatusahau kamwe

Mwaka Fulani diamond alikuwa anawania tuzo na akina davido watu wakaendesha kampeni Hadi akazipata

Pia kuna mwaka tuzo zile watu wakaenda kampeni Hadi akazikosa

Waliomuinua diamond Ni watu wa mtandaoni maana media zilimfungia vioo clouds na EA radio .

So Kama alipandishwa na watu wa mtandaoni ndio watakaomshusha .
MTV MAMA na MTV EUROPE hizo kampeni zilikiwepo na bado MTV MAMA akachukua moja, EUROPE akabeba zote mbili, so kama ipo ipo tu.
 
Ukisikia uchawi ndio huu. Sijawahi kuwa fan wa huyu dogo ila this isn't fair aisee. Dogo anapambana sana sana, na anahitaji support sio huu uchawi walah!!
Labda tuangalie hii BET award inataka wenye sifa gani?
Ana kidhi?
Wanaolalamika wako sahihi?
 
Ila nyinyi matajiri ndio mnamshabikia, hongera sana tajiri!
Ni wivu mkuu,..

Chunguza sana wanaomchukia Diamond ni wale masikini wa kipato na kwa akili zao wanafikiri kufeli kwao ni kwa sababu ya diamond
 
Siasa isiyo ya maji taka ni kuishabikia chadema tu?
Unaakili fupi sana.nani kasema Diamond aishabikie Chadema? Tunachopinga ni Diamond kuunga mkono udhalimu wa CCM dhidi ya wananchi na vyama vya upinzani. Yeye kama "public figure" alipaswa kuwa neutral kwasababu kazi zake hazina chama.kaleta ujuwaji sasa wacha ale jeuri yake. Na hili liwe funzo kwa wengine wanaovaa vaa hovyo manguo ya kijani.
 
Halafu hawa chama cha saccos ndio wanataka tuwape nchi namna hii?

Natamani nimzabe viboko mwenyekiti wao mlevi mbowe ili wajifunze.
Hebu tufanye ingekuwa mtoto labda wa mbowe ndio tunamfanyia hivi vikamanda uchwara si vingemwaga damu?
 
Hawa jamaa tangu wapigwe na kitu kizito kichwani hawajazinduka mpaka leo
 
Hii misukule ya WCB hawawwzi kuelewa
Ila hatusahau kamwe

Mwaka Fulani diamond alikuwa anawania tuzo na akina davido watu wakaendesha kampeni Hadi akazipata

Pia kuna mwaka tuzo zile watu wakaenda kampeni Hadi akazikosa

Waliomuinua diamond Ni watu wa mtandaoni maana media zilimfungia vioo clouds na EA radio .

So Kama alipandishwa na watu wa mtandaoni ndio watakaomshusha .
 
Kupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.

Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.

Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .

Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Well said...
 
Chadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
Si ndio hapo sasa, hiyo demokrasia iko kwao tu ila sio kwa wenzao.
 
Halafu hawa chama cha saccos ndio wanataka tuwape nchi namna hii?

Natamani nimzabe viboko mwenyekiti wao mlevi mbowe ili wajifunze.
Hebu tufanye ingekuwa mtoto labda wa mbowe ndio tunamfanyia hivi vikamanda uchwara si vingemwaga damu?
Jamaa ni wabaya,wachawi na ni wabaguzi bora CCM waendelee kubaki madarakani
 
Back
Top Bottom