Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Sema hapo ndio jamaa kaprove failure, ni wasanii wachache sana wanatambua positions zao
Mi binafsi Ni fan Huyo Jamaa na respect hustle zake


Ila ana undezi Fulani akivaa zile sare zake za mbogamboga kwenye majukwaa Yao.

Anatusi watu wanaompeleka chooni.

Sikatai yeye kuwa mbogamboga Ila simile inahitajika Basi asitugawe mashabiki .

Avae hao mambogamboga bila kutunanga sisi independent na wale chadema.

Hata huko states wasanii wengi Ni Democrat Ila huwezi sikia wakikinanga GOP maana kuna fan wao wanaomini in conservative way.

Huyo dogo pamoja na kusafiri Ila unaonekana Hana exposure upande wa kurelate siasa na sanaaa

Shule muhimu .
 
Kijani unaweza kuvaa lakini kwa kuwa ilikuwa inashabihiana na mambo ya kishenzi kama kutekana,kuuwana na ujambazi basi tunaipiga vita. Ole sabaya yupo rumande mnashughulikiwa mmoja baada ya mwingine.
Hizi ngonjera zenu za kutekana na kuuwana tumeshazichoka mnahatarisha usalama wa nchi halafu mnataka kuchekewa ...mnataka democracy lakini hamuihubiri...Naona sawa acha mpigwe.

Kwa sasa mmehamia kwa kijana mmoja mdogo anayejitafutia ridhiki kwa mikono yake! Kesho mtatafuta kasababu kengine?
Watu wa hiko chama chenu nawaonaga kama mmechanganyikiwa
 
Sema hapo ndio jamaa kaprove failure, ni wasanii wachache sana wanatambua positions zao
Hata Kama ndio ku-base na wenye fursa " but not to that extent"(in mwendazake accent)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji205]
 
Unaakili fupi sana.nani kasema Diamond aishabikie Chadema? Tunachopinga ni Diamond kuunga mkono udhalimu wa CCM dhidi ya wananchi na vyama vya upinzani. Yeye kama "public figure" alipaswa kuwa neutral kwasababu kazi zake hazina chama.kaleta ujuwaji sasa wacha ale jeuri yake. Na hili liwe funzo kwa wengine wanaovaa vaa hovyo manguo ya kijani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una tia huruma kweli!

Diamond ana haki ya kuwa chama chochote kile habari ya kwamba kina kandamiza wanachi hicho kitu mnakiona nyie machadema!

Marekani nchi za watu wenye afya ya akili msanii anasapoti chama akipendacho huwezi kusikia wa chama pinzani wakihamasisha wafuasi wao kumchukia.

Hapa kwetu tumajaa ujinga na unafiki ndio sababu unaona yote haya.

Diamond hata akikosa hiyo tuzo ni kwa sababu kuna mtu amestaili kwa vigezo na si kwa kelel na chuki za wajinga wachache.

Mbona mashabiki wa chadema hawaichukii Simba wakati mdhamini wa MO ni ccm?

Wivu, roho mbaya na umasikini vinaenda sambamba.
 
Kijani unaweza kuvaa lakini kwa kuwa ilikuwa inashabihiana na mambo ya kishenzi kama kutekana,kuuwana na ujambazi basi tunaipiga vita. Ole sabaya yupo rumande mnashughulikiwa mmoja baada ya mwingine.
Nani anawashughulikia?
 
Tatizo la makamanda uchwara ni umaskini..
Sadala hana shida wangempa pesa angewapigia Show moja matata tatizo lao hata ofisi tu makao makuu inawapa tabu mpka wakae chini ya muembe...
Wenzao ccm wametoa pesa yeye haangalii mtu usoni anaangalia pesa, ndio inamlisha mama yake na wanae..

Sasa makamanda walitaka wapigiwe Show bure 😀😀😀
 
Mi binafsi Ni fan Huyo Jamaa na respect hustle zake


Ila ana undezi Fulani akivaa zile sare zake za mbogamboga kwenye majukwaa Yao.

Anatusi watu wanaompeleka chooni.

Sikatai yeye kuwa mbogamboga Ila simile inahitajika Basi asitugawe mashabiki .

Avae hao mambogamboga bila kutunanga sisi independent na wale chadema.

Hata huko states wasanii wengi Ni Democrat Ila huwezi sikia wakikinanga GOP maana kuna fan wao wanaomini in conservative way.

Huyo dogo pamoja na kusafiri Ila unaonekana Hana exposure upande wa kurelate siasa na sanaaa

Shule muhimu .
Ila akivaa za chadema ni safi?
 
Tatizo la makamanda uchwara ni umaskini..
Sadala hana shida wangempa pesa angewapigia Show moja matata tatizo lao hata ofisi tu makao makuu inawapa tabu mpka wakae chini ya muembe...
Wenzao ccm wametoa pesa yeye haangalii mtu usoni anaangalia pesa, ndio inamlisha mama yake na wanae..

Sasa makamanda walitaka wapigiwe Show bure 😀😀😀
Wanataka akawapigie shoo bure
 
Back
Top Bottom