Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Maskini wale, stupid kabisa.

Wamesababisha hater niungane na team sadala.

Hawana pointi ni wivu tu
Mondi ni businessman kama wao wengeweka mkwanja angewawakilisha vyema. Sidhani mondi hata ana give the fuckk about ccm au chadema..anachojali ni profit gross ya kile alichohudumu. Sasa Sijui Kwanini achukiwe kama vile yeye ni kada wa ccm.
Chadema wenyewe wako after money hakuna anayejali Sijui kuleta usawa wala nini.
Wivu tu..
View attachment 1810451
 
CHADEMA washenzi. Leave sadala alone mbona mna wivu mbaya hivyo kisa kanunua gari kali mmeumia sana daah kisingizio masuala ya kisiasa
Unaona kuwa Lissu hakufaa hata kuwa katibu kata! Hii ni kulazimisha kila mtu awaunge mkono kwa lazima! It is very disgusting indeed
 
CHADEMA washenzi. Leave sadala alone mbona mna wivu mbaya hivyo kisa kanunua gari kali mmeumia sana daah kisingizio masuala ya kisiasa
Angoee na yule mtu wake wa IT anagenerate fake millions Viewers Youtube Kwenye Nyimbo zake za....Baba lao... ,amzalishie votes ashinde sasa😁
 
Sio Lissu pekee chama kizima viongozi na wafuasi wao wana akili za hivyo,hawataki kupingwa,hawataki mawazo mbadala wala mtu kuwa tofauti na wao,wakisema Yes ni Yes hawajui neno NO
Unaona kuwa Lissu hakufaa hata kuwa katibu kata! Hii ni kulazimisha kila mtu awaunge mkono kwa lazima! It is very disgusting indeed
 
Umeona ee hakuna msanii wao wanayemuunga wala kumpaisha. Wanaangalia wale wa juu ili wapate kiki. Mbowe asipokua makini hawa jamaa watamuendesha sana kupitia twitter
kumbe kinachowasumbua ni wivu tu walitaka awapigie Show bure
Mbona basi Roma hawampigii Promo akaitwe huko BET na yeye? 😀😀
 
Makamanda hio nguvu mnayoitumia mngeigeuzia kwa akina mdee kutoka bungeni ingependeza
Au hata kudai katiba mpya na tume huru maana hizi wansemaga ndio zinasababisha wasishinde,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya majamaa ni ya kuhurumiwa.
 
Maskini wale, stupid kabisa.

Wamesababisha hater niungane na team sadala.

Hawana pointi ni wivu tu
Wewe ni mnafiki kabisa. . Ungekaa kimya tu.. Nyinyi mko tayari na mmesha uwa wengi...kisa ufisi.
Mnafiki kabisa
 
Kama kuna zaidi ya watu elfu kumi hawakubali udhalimu ni wazo gani la biashara la kuwauzia hawa watu?

Idea jamani?
Ukitaka wazo la biashara lipia !Mawazo yapo mengi tu Ntakupa
 
Back
Top Bottom