Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Yule binti yako aliyepewa mimba na hamis keshajifungua? Jamaa limekula mbususu mbiiichiiii
Wewe ni mnafiki kabisa. . Ungekaa kimya tu.. Nyinyi mko tayari na mmesha uwa wengi...kisa ufisi.
Mnafiki kabisa
 
Sio Lissu pekee chama kizima viongozi na wafuasi wao wana akili za hivyo,hawataki kupingwa,hawataki mawazo mbadala wala mtu kuwa tofauti na wao,wakisema Yes ni Yes hawajui neno NO
Hii ni hatari kabisa! Kweli tumefika hapo kuharibiana watanzania!!!!!! Siamini to hell with chadema people if this is the case Erythrocyte jamani are you people that much haters, kwa Mtanzania mwenzenu? Siamini
 
Umeona ee wana mambo mengi ya msingi wanaacha kuyafatilia wamebaki kupiga ramli zisizokua na faida.

Mama Samia kawaweza kweli kabana kila kona wamekosa zile siri zilizokua zinawapa kiki
Au hata kudai katiba mpya na tume huru maana hizi wansemaga ndio zinasababisha wasishinde,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya majamaa ni ya kuhurumiwa.
 
Hii ni hatari kabisa! Kweli tumefika hapo kuharibiana watanzania!!!!!! Siamini to hell with chadema people if this is the case Erythrocyte jamani are you people that much haters, kwa Mtanzania mwenzenu? Siamini
Jamani sio chadema kama mnavyotaka tuaminishwe hapa .hizo ni personal hate tu za watu..muiache chadema
 
Mondi ni businessman kama wao wengeweka mkwanja angewawakilisha vyema. Sidhani mondi hata ana give the fuckk about ccm au chadema..anachojali ni profit gross ya kile alichohudumu. Sasa Sijui Kwanini achukiwe kama vile yeye ni kada wa ccm.
Chadema wenyewe wako after money hakuna anayejali Sijui kuleta usawa wala nini.
Wivu tu..
View attachment 1810451
Mdhamini wa Yanga ni ccm!
Mdhamini wa simba ni ccm

Lakini huwezi kusikia mashabiki hawa wajinga wa chadema wanazichukia hizo timu.

Kwa diamond wanaongozwa na wivu
 
karma is bitch sometimes,nasema we have to play smart and positive.ukishakuwa msanii mkubwa popote unapaswa kusemea jamii yako vizuri pia na kuitetea so unapokosa hayo Kwa maslahi yako tatizo ndo linapoanzaa
Diamond kaisema jamii ya vibaya wapi?
 
Hahahaa ...! Si unaona sasa! Ngoja nikuache..kama unaona kujiuza raha si na ww jiuze tu shogangu
Kazana usidhani wadada wenzio wanauza kama wewe hatununui sisi
Na vipi ile connection yako unakatika matako mabayaaa yana makovu 😀😀
Sijui ulikuwa unamdangia nani maskini

Kipindi hicho unajiita manengelo saivi eti umekuwa influencer 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Lissu naye amekosea sana kwa hili...!kweli kbs alinikwaza...atakosa sasa wafuasi...khaa!
Ndio siasa zetu zilipofika. Mtu kama hakusapoti unapanga kumuharibia...licha ya mondi kuwa mwanasisiemu ila zile show za kampeni walilipwa mpunga mrefu tu, wasanii kama unataka wakufanyie show au wakutungie nyimbo za kampeni wape mpunga, simpo sasa kutaka wakusapoti bure bure hii haipo...
Yaani eti wimbo MAGUFULI BABALAO...umewakera watu wanaenda ufungulia nyuzi insta kwa tuhuma kibao kuwa mond kahusika kusapoti 'dhulma na uonevu' muhula wa jpm....
Ni ujinga
 
Anzia kwanza uvivu then umaskini.

Tu maskini kwasababu ya uvivu
Kabisa mkuu!

Mfano kwenye hili mashabiki wa alikiba badala ya kumwambia msanii wao aache uvivu ili amfikie mond, badala yake wanataka mond ashuke ili afanane na kiba
 
Hivi vitakataka vyenu tangu muanze kusign mliwahi kupata mafanikio gani?

Magufuli mlisaini wee ili UN imuwekee vikwazo lakini mpaka kajifia bado kapetisheni kenu mmekabana kwapani
Bado Yupo Kwani??
 
Jamani sio chadema kama mnavyotaka tuaminishwe hapa .hizo ni personal hate tu za watu..muiache chadema
Kama ni hivyo afadhali! Huo ni ujima maana inatakiwa tulumbane tukiwa ndani ila tukitoka nje tunakuwa kitu kimoja. Ndivyo walivyo kama wakenya, waghana, wanaija hata waganda. Huyu mtu akipata hata million moja atakuja kununua soda kwa Mpemba; hapo atakuwa ameongeza pato la mpemba. Tulumbane tukiwa ndani ila tukiwa nje kitu kimoja.

nakueleza dhambi hii hata akishinda Ney wa Mitego ambaye mpuuzi Lissu alisema ni mwenzao, watu wa ccm sasa nao watamwaga mboga; at the end tunakuwa taifa la kitoto tu
 
Back
Top Bottom