Hapa Mond lazima apakae kinyesi, kama ataendelea kucheza na nguvu ya umma.mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Mond lazima apakae kinyesi, kama ataendelea kucheza na nguvu ya umma.mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Shangaa mkuu! Hao ndio chadema na hapo kwa akili zao hiyo itawafanya waende ikuluKumbe Diamond ame influence mambo yaliyokuwa yanafamywa na serikali ya awamu ya tano?
Shida ni hiyo tu.Mkishampa hio sapoti akishinda anakuja kuwanyea
𝙷𝚊𝚖𝚞𝚎𝚕𝚎𝚠𝚎𝚔𝚒 𝚖𝚗𝚊𝚜𝚒𝚖𝚊𝚖𝚒𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒..!! 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚖𝚝𝚞𝚗𝚊 𝚕𝚊𝚔𝚎Ukipambana halafu ukaheshimu hustle za wenzio utapata baraka. Dogo shida dharau kwa wenzie
Hii haimzuii Diamond wewe ...huyu mwamba kumchukia ni kujiumiza..Hapa mond lazima apakae kinyesi. Asicheze na nguvu ya umma
Ni wivu mkuu,..Ni ujinga wa watanzania wengi kutaka wengi wawe maskini, yaani ukifanikiwa wanataka ufeli.
Sijaona wtu wakimlazimisha ali kiba asapoti wanachotaka diamond asapoti...
Ila hatusahau kamweWatanzania mnasahau haraka sana.
Ali side vipi na udhalimu?Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili
Huwez sided na udhalim half ukabaki salama
Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi
Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Kumbe mnasababu nyingi tu sio siasa peke yake!Ukipambana halafu ukaheshimu hustle za wenzio utapata baraka. Dogo shida dharau kwa wenzie
𝙰𝚘 𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚠𝚎𝚗𝚞 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚘𝚔𝚊𝚠𝚊 𝚊𝚐𝚊𝚒𝚗𝚜𝚝 𝚗𝚊 𝚂𝚎𝚛𝚒𝚔𝚊𝚕𝚒 𝚢𝚊 𝚊𝚠𝚊𝚖𝚞 𝚢𝚊 5 𝚊𝚝𝚊 𝚝𝚞𝚣𝚘 𝚣𝚊 𝙰𝚏𝚛𝚒𝚖𝚊𝚖𝚊 𝚣𝚒𝚗𝚊𝚣𝚘𝚝𝚘𝚕𝚎𝚠𝚊 𝚑𝚊𝚙𝚘 𝚄𝚐𝚊𝚗𝚍𝚊 𝚝𝚞 𝚑𝚊𝚠𝚊𝚓𝚊𝚠𝚊𝚑 𝚔𝚞𝚣𝚒𝚜𝚑𝚒𝚔𝚊Dogo hata mm namkubali ila nimesign petition ili asirudie makosa ya kusupport ukandamizaji
Im his fan...ila wacha avune alichopanda..Ukisikia uchawi ndio huu. Sijawahi kuwa fan wa huyu dogo ila this isn't fair aisee. Dogo anapambana sana sana, na anahitaji support sio huu uchawi walah!!
𝙱𝚛𝚘𝚝𝚑𝚎𝚛 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚠𝚊𝚕𝚊 𝚜𝚒𝚘 𝚜𝚊𝚋𝚊𝚋𝚞 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚟𝚒𝚙𝚒 𝙲𝚑𝚊𝚍𝚎𝚖𝚊 𝚖𝚜𝚒𝚠𝚎 𝚖𝚊𝚜𝚑𝚊𝚋𝚒𝚔𝚒 𝚠𝚊 𝚂𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚖𝚊𝚊𝚗𝚊 𝙼𝙾 𝚗𝚒 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝚌𝚌𝚖Kupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.
Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.
Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .
Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Chadema haiwezi kuwa nguvu ya uma!Hapa mond lazima apakae kinyesi, kama ataendelea kucheza na nguvu ya umma.
𝙰𝚝𝚊𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚗𝚗? 𝚣𝚊𝚒𝚍𝚒 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊𝚊𝚖𝚋𝚒𝚊 𝚠𝚊𝚜𝚊𝚗𝚒𝚒 𝚠𝚎𝚗𝚣𝚊𝚔𝚎 𝚠𝚊𝚙𝚊𝚖𝚋𝚊𝚗𝚎 𝚠𝚊𝚕𝚎𝚝𝚎 𝚟𝚒𝚝𝚞 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚘 𝚗𝚢𝚞𝚖𝚋𝚊𝚗 𝚜𝚒𝚘 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚜𝚒𝚔𝚞 𝚔𝚞𝚕𝚒𝚊𝚕𝚒𝚊Kwa saizi bado, subiri apite kwenye hizo tuzo ndio utamjua
Mambo ya ajabu sana haya.Kumbe Diamond ame influence mambo yaliyokuwa yanafamywa na serikali ya awamu ya tano?
Kumbe unajua kuandika....Mkuu,unamaanisha Chadema ndyo waliua biashara?
Unamaanisha kuwa Chadema ndyo walimuua Aquelina?
Unamaanisha kuwa Chadema ndyo walikuwa wanaua watu na kuwaweka kwenye viroba?
Unamaanisha kuwa Chadema ndyo walikuwa wanateka watu?
Pia,unamaanisha kuwa Chadema ndyo walioandaa hiyo petition?
You need to act like a gown up person!
Diamond sasa hivi hawezi kushushwa na vikampeni uchwara vya akina kigogoIla hatusahau kamwe
Mwaka Fulani diamond alikuwa anawania tuzo na akina davido watu wakaendesha kampeni Hadi akazipata
Pia kuna mwaka tuzo zile watu wakaenda kampeni Hadi akazikosa
Waliomuinua diamond Ni watu wa mtandaoni maana media zilimfungia vioo clouds na EA radio .
So Kama alipandishwa na watu wa mtandaoni ndio watakaomshusha .
Unaendeleaje hapo kwenye ukoo wa Bakhressa?Hiyo haitasadia kuondoa umasikini kwenye ukoo wako!
Hii ya kumchukia mtu aliekuzidi kipato ipo tz tu
Kafanya kitu gani?Im his fan...ila wacha avune alichopanda..
Wacha wenzake wajifunze kupitia yeye.