Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Tuoneshe ni wapi Mondi alisifia ukatili?

Umasikini, roho mbaya, wivu na uvivu vinaenda pamoja.

Ukiwa na tabia hizi lazima uwachukie waliokuzidi!

Watz wengi wanawachukia matajiri wakiamini umasikini wao unasababishwa na matajiri.
Acha Ujinga wew anapoimba wimbo Magufuli na Makonda babalao ni baba hao wana ubaba gani zaidi ya kuwa Mababa wa mauji na Mateso kwa raia
 
Hata ukionyeshwa utabisha tu kwa kuwa umeshajiprogram hivyo ulivyo!

Kwanza aliamua kukaa kimyaa. Akatangaza kukaa kimyaa. Kisha akaanza kisifu. Mila mtu anajua haya.
Wachana na huyo ndumila kuwili wa Jiwe
 
Acha Ujinga wew anapoimba wimbo Magufuli na Makonda babalao ni baba hao wana ubaba gani zaidi ya kuwa Mababa wa mauji na Mateso kwa raia
Safari hii akubali kuoigiwa kura na makada wenzake ambao kimsingi washamtupia kwenye dust bin baada ya kumtumia
 
Tuoneshe ni wapi Mondi alisifia ukatili?

Umasikini, roho mbaya, wivu na uvivu vinaenda pamoja.

Ukiwa na tabia hizi lazima uwachukie waliokuzidi!

Watz wengi wanawachukia matajiri wakiamini umasikini wao unasababishwa na matajiri.
MATAGA mwenzako juzi kaogeshwa pale kisongo
Your browser is not able to display this video.
 
Atapigiwa kura na free mason wenzake kama wewe
Mkuu freemason huwez wakwepa , mkuu , hata Yesu alisema ni wachache Sana watakaotoboa kibabe mbinguni.....unaweza kuwa sio freemason na bado ukalamba mchanga
 
Tunakupinga sio kwa kuwa wew ni mwana CCM tunaupinga Mtazamo wako wa kusifia Ukatili na Mauaji kwa raia wenzako wa Tanganyika. Suala la kujali UTU halina chama ni la kila mtu na ndio maana Leo Sabaya yupo ktk mikono salama...
Swali je Diamond ndio msanii pekee kuwa upande wa CCM? Kwanini hizi spana hazijatembea kwa wasanii wote waloshiriki Kampeni za CCM?
 
Tuma na link ya kuVote mkuu. Nataka kuVote na mimi.
 
Acha Ujinga wew anapoimba wimbo Magufuli na Makonda babalao ni baba hao wana ubaba gani zaidi ya kuwa Mababa wa mauji na Mateso kwa raia
Sasa chuki zako kwa Magufuli na Makonda unataka kila mtu awe nazo?

Yani unataka mawazo yako ndio yawe ya diamond?

Huko chadema mmejaa mambumbumbu tupu?
 
Hata ukionyeshwa utabisha tu kwa kuwa umeshajiprogram hivyo ulivyo!

Kwanza aliamua kukaa kimyaa. Akatangaza kukaa kimyaa. Kisha akaanza kisifu. Mila mtu anajua haya.
Kwanini usioneshe ili kukata mzizi wa fitina?
 
Aisee is this a real ? Jamaniii [emoji3]
 
Wanaacha kuhangaika na akina halima mdee huko wanakula hela za posho za bure.Wanahangaika na diamond ambae anajitafutia kivyake.Wajue hawawez kuja kulingana nae.Huo ni wivu wa kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…