Ivi we jamaa huna uruma na mbavu zangu usiku huu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji22] [emoji23] [emoji22]"Hata mimi na marashi yangu toka zamani ila cpendi kiki na kujitangaza" Ali Kiba
Wanao semaga ntakupa dunia yote je?....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?
Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....
Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..
Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
huko uliko itakufikiaje... we tumia Geisha tu.Sijui kama ntatumia hiyo bidhaa ase
Rahis sana kuongea wewe umefanya ngapi?Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....
Na mimi nimo. Kijana wetu anayejitambua na kufanya kazi huku akiwapa kisogo wapika majungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Hata mimi na marashi yangu toka zamani ila cpendi kiki na kujitangaza" Ali Kiba
Au ayuhuko uliko itakufikiaje... we tumia Geisha tu.
Yeye na mimi, ulidhani kwenye hiyo wenu nawe upo?Kijana wenu??!!....wew na nani?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kivipi....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?
Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....
Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..
Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] my ribs ohhh"Hata mimi na marashi yangu toka zamani ila cpendi kiki na kujitangaza" Ali Kiba
Mimi hapaKijana wenu??!!....wew na nani?
Wabongo dah mtu akifanikiwa freemason....Hivi huyu Mola wetu kwani yy hawezi kubariki watu wakawa matajiri???? Usikariri maisha coz hata Mungu naye anabariki....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?
Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....
Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..
Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
Mna hamu aache muziki ili mjitanue eenhe! Kumbe kawabana hivyo, teh. Chibu kaza hivyo hivyo hadi waombe poo.Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....
Habari ndio hiyo.Hater utapata kirungulia kwa kumchukia huyu mtu
Tatizo lako unafananisha kifo na usingizi.Yes biashara ndio kipaji chake ndio maana kawa mwanamuziki pekee Tanzania aliyepata mafanikio makubwa katika biashara ya muziki. Kama ulikuwa hujui basi fahamu kuanzia sasa kuwa muziki nao ni biashara. Halafu haya mambo ya perfumes si pekee aliyefanya, kimataifa wapo akina Jay Z, Beyonce, Michael Jackson, David Beckham, Britney Spears, Justin Beiber, Usher, Bruce Willis, Rihanna na wengineo
Wewe mtu tokea jana unanifurahisha sana.Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....