Diamond Platinumz kuzindua marashi yake ya Chibu

Diamond Platinumz kuzindua marashi yake ya Chibu

"Hata mimi na marashi yangu toka zamani ila cpendi kiki na kujitangaza" Ali Kiba
Ivi we jamaa huna uruma na mbavu zangu usiku huu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji22] [emoji23] [emoji22]
 
Kweli tunaishi hivi jirani hutaki ninunue tv,
wakati watu wa angaza wanatangaza mambo ya H.I.V kwenye tv - Juma nature - Ubinadam kazi
 
....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?


Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....

Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..

Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
Wanao semaga ntakupa dunia yote je?

Weeee vipiii.
 
....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?


Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....

Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..

Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kivipi
 
....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?


Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....

Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..

Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
Wabongo dah mtu akifanikiwa freemason....Hivi huyu Mola wetu kwani yy hawezi kubariki watu wakawa matajiri???? Usikariri maisha coz hata Mungu naye anabariki
 
Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....
Mna hamu aache muziki ili mjitanue eenhe! Kumbe kawabana hivyo, teh. Chibu kaza hivyo hivyo hadi waombe poo.
Btw mtu asiyekuwa na kipaji anaweza kuvamia fani halafu akaweka records ambazo hazijawahi kuwekwa Tz. Kumbe miujiza ipo ennhe, ngoja nami nianze kuamini kwenye miujiza teh teh.
 
Yes biashara ndio kipaji chake ndio maana kawa mwanamuziki pekee Tanzania aliyepata mafanikio makubwa katika biashara ya muziki. Kama ulikuwa hujui basi fahamu kuanzia sasa kuwa muziki nao ni biashara. Halafu haya mambo ya perfumes si pekee aliyefanya, kimataifa wapo akina Jay Z, Beyonce, Michael Jackson, David Beckham, Britney Spears, Justin Beiber, Usher, Bruce Willis, Rihanna na wengineo
Tatizo lako unafananisha kifo na usingizi.
 
Back
Top Bottom