Hapo ndipo ilipo tofauti ya mfanyabiashara na Mwanamuziki.
Nyie mnampenda mfanyabiashara sisi tunampenda mwanamuziki hatuwezi kufanana akili na mawazo.
Tena mumshauri kabisa ili biashara zake ziende vzuri aache na kupiga kelele majukwaani awe anakaa mwenyewe dukani kwake ili apige hela zaidi kupitia biashara zake maana iko ndio kipaji chake huku kwenye muziki alikuwa anatafuta mtaji tu.
Kwa kukusaidia zaidi mfanyabiashara Ronaldo analipwa mshahara mkubwa kuliko Messi na ni tajiri kuliko Messi lakini dunia nzima inajua Messi ni mkali kuliko Ronaldo.