Diamond Platinumz: Kwa nini nipo VEVO? Nasaha kwa wasanii

Bravo chibu dangote,
Ameleta pia mapinduzi ya muziki Tz, kwamba music ni biashara.

Nadhani kupitia ww wenzako nao wataamka na kugundua sio ishu kua na ac ya vevo zaidi wananufaikaje na iyo brand.......
 
Na kuongezea tu VEVO hawalipi msanii binafsi ni lazima awe kwenye record lebo yenye shareholder kama universal , sonny au rock nation
Wasanii wa Tanzania ambao awako kwenye record lebo hawanuafaiki zaidi ya kuwa na status tu yupo VEVO.
Kuna siku mwaka Jana Flaviana Mtata aliuliza kwanin wasanii wa Tanzania wako VEVO wanajua haki zao? Wengi walimtukana ila nakumbuka wakazi alijitaidi kueleza kwaninn yeye hayupo VEVO,
 
Hao VEVO wamepost kazi ya diamond siku gani? ?una uhakika gani hao uliowataja nao hawatapostiwa na VEVO? ?
 
Hao VEVO wamepost kazi ya diamond siku gani? ?una uhakika gani hao uliowataja nao hawatapostiwa na VEVO? ?
Kwani a/c za VEVO so zipo wazi nenda basis kaangalie ujifunze mkuu
Nenda twitter, Facebook au instagram in vitu ambavyo viko wazi
 
Kwani a/c za VEVO so zipo wazi nenda basis kaangalie ujifunze mkuu
Nenda twitter, Facebook au instagram in vitu ambavyo viko wazi
Kwa hyo VEVO hawatapost video za akna alikiba na Vanessa siku zijazo? ?mi nataka kujua tu hata wewe unaweza njibu
 
We jamaa Inawezekana Sio Mzima
Ndio maana tunadai ndugu zetu walimu waongezewe maslahi imagine ndio una wanafunzi kama hawa 2 darasani
 
Kwa hyo VEVO hawatapost video za akna alikiba na Vanessa siku zijazo? ?mi nataka kujua tu hata wewe unaweza njibu
Diamond kajiunga juzi kwanin wanampost ? Ndo swali la msingi na Hawa waliojiunga kitambo kwanin hawakuwapost au hawajawapost hadi Leo ndo swali la msingi.
Tofauti hapo ndo point ya msingi
 
Diamond kajiunga juzi kwanin wanampost ? Ndo swali la msingi na Hawa waliojiunga kitambo kwanin hawakuwapost au hawajawapost hadi Leo ndo swali la msingi.
Tofauti hapo ndo point ya msingi
we jamaa kumuelewesha chizi utajipa kazi. Wanaelew ila hawataki tu kuelewa
 
mbona video za vanesa mdee kitambo huwa naziona na hiyo vevo, kwa nini kwa huyu ndio iwe kitu cha ajabu na iwe stori kama vile ni kitu kipya.
Umeelew kwa makini Alicho andika Diamond au ulivyo Ona neno Vevo mbio mbio ukamkumbuka Vanessa? Alikuwa anaweka Wimbo vevo Malipo ilikuaje? Soma post kwanza ndo ucomment au kisa ni Diamond kasema
 
Hiyo ni advert and am sure VEVO wamemlipa for that posting..or Barter Trade..I post you, you post me.But hiyo in typical scripted advert
 
Hiyo ni advert and am sure VEVO wamemlipa for that posting..or Barter Trade..I post you, you post me.But hiyo in typical scripted advert
Nani kalipwa kati ya vevo na mond msada tafadhali
 
mbona video za vanesa mdee kitambo huwa naziona na hiyo vevo, kwa nini kwa huyu ndio iwe kitu cha ajabu na iwe stori kama vile ni kitu kipya.
Kwasababu vanessa mdee alijunya na vevo lakini hakutoa taarifa stahili kama alivyofanya Diamonc binafsi nilikua sifahamu umuhimu wa kua Vevo na kua na akaunti ya youtube ya kawaida,,nilichofahamu ni kwamba ukiwa Vevo unalipwa pesa nyingi kwa mujibu alivyoandika Diamond sina uhakika...
 
Tena kasema kila msanii ana mashabiki wake yeye hata akiwa nao wa 3 basi alipwe kwa view 3 sawa na wamarekani mwenye view millioni 3

Kwanza huu ushauri wa Diamond sio kwa sisi mashabiki ni kwa wasanii so wasanii ndo wakusema

Ila kwa vile kasema Diamond basi ni shida
 
Tatizo mnakimbilia kushangaa bila kuelewa kilichoandikwa.
Kaona watu hawana habari anaanza kujiongelesha mwenyew utadhani kaulizwa, nini Vevo ? Hata mbunguni akitaka aende,watu tupo busy na habari za mama wema na steve nyerere,hatutoi kiki
 
sina uhakika kama naropoka na nimerudia kusoma lakini bado nashangaa "mbona video za vanesa mdee kitambo huwa naziona na hiyo vevo, kwa nini kwa huyu ndio iwe kitu cha ajabu na iwe stori kama vile ni kitu kipya."
Mtu gani usiyeelewa? Sisi hatukatai vanessa kuwa Vevo tangu zamani?

Haya wewe unae jua kuwa vanesaa yupo vevo hadi sahizi kaingiza sh ngapi kupitia Vevo? Alikuwa analipwa sawa na Rihanna kwa view mmoja? Vevo wamewahi itangaza wimbo wake hata mmoja? Kuwa na akili acha kuropoka

Au kisa ushauri katoa Diamond
 
mbona video za vanesa mdee kitambo huwa naziona na hiyo vevo, kwa nini kwa huyu ndio iwe kitu cha ajabu na iwe stori kama vile ni kitu kipya.
Umesoma alichoandika au umetanguliza fitna tuu????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…