Diamond Platinumz na kauli za kutatanisha katika “ reality show” ya Young, Famous and African

Just to be clear.

Mwanaume hawi bitch.

Lakini hiyo ishu inaonekana ni scripted sielewi kwanini wameacha hii scene ionekane
Bitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga

Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…