PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shilole wa kiume....
Shule haikimbiwi, na ukiikimbia utajulikana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shilole wa kiume....
Shule haikimbiwi, na ukiikimbia utajulikana tu.
Dogo ni magumashi sana, watu inabidi wamwambie kuwa si kila kitu ni uchawi.....kutojuwa lugha za watu si dhambi kwanini alazimishe kuchapia kitu asichokijuwa? Anatia haibu sana.View attachment 2155876
Msikilize mwenyewe:
View attachment 2155877
Akaulizwa: How old are you?
Diamond: 31st
😎
Kwa sababu ni mbumbumbu wa lugha za kigeni, anafikiri kuongea kwa kuchapia Kiingereza ndiyo kujuwa kumbe hajuwi lolote.Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ndiye aliyesema hakuna msanii anamzidi unyamwezi hahaha aiseee
Watu wapo kazini ww unaona aibu?Aisee aibu nimeona mimi 🙈
Mwanaume ni PlayaBitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga
Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
Kafukuza wanawake wenye akili , wasomi na waliokuwa wanamfundisha kiingereza na exposure, muonekano na kujibihave kimataifa akina madam Sepetu, Zari na tanasha anaende kuchukua waimba taarabu huko mchambawima unatarajia atamfundisha kizungu?View attachment 2155876
Msikilize mwenyewe:
View attachment 2155877
Akaulizwa: How old are you?
Diamond: 31st
😎
Just to be clear.
Mwanaume hawi bitch.
Lakini hiyo ishu inaonekana ni scripted sielewi kwanini wameacha hii scene ionekane
Kiinglish hicho.. This bitch is 31st years old.
A ladyboy thenDudes can be bitches too. Literally or figuratively.
hii kamdanganye beki tatu wenu labda atakuelewa 🤣🤣🤣Watu wapo kazini ww unaona aibu?
Hio imefanywa makusudi
Bitch ni feminine term, mwanaume ni dog na si bitch.Bitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga
Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kiinglish hicho.. This bitch is 31st years old.
Aaaah sawa.Shule ipi? Kama kusoma watu wanasoma hata Twitter.