Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaaahii kamdanganye beki tatu wenu labda atakuelewa 🤣🤣🤣
Kwa hiyo ni sahihi na wewe tukikuita bitch? Si ndio ukweli mtupu ndugu yangu?Yuko sahihi, neno hilo lina maana na matumizi tofauti.
Neno Bitch linaweza kutumika kama nomino ama kitenzi. Na hapo kwenye nomino lina maana zaidi ya nne. Na ametumia neno bitch kuimply maana mojawapo katika maongezi yake.
Neno bitch linaweza kutumika kwa mwanaume ama mwanamke kwa sababu lina maana nyingi.
Hata mtu anayecomplain sana anaweza kuitwa bitch, as s/he always complains.
Hata neno "fvck" lina maana nyingi sana lakini watu wameshakariri mtu akisema neno fvck anaimply "kufanya ngono".
You are the one acting like a bitch, not me bro. Now, get off my dick!!Kwa hiyo ni sahihi na wewe tukikuita bitch? Si ndio ukweli mtupu ndugu yangu?
Director nae kama aliogopa umande?hiyo ni promo tu, coz kwenye editing ingetolewa fasta tu kila mtu atataka akaangalie mwisho viewers kama wote, hizi zinaporekodiwa kuna take two kama zote
director hawezi ruhusu kitu kama hawajafanya intentionally
Diamond kingereza alifundishwa chumbani na sio darasani so kubali kukosea kupo na hajui.kuna mtu kweli unajua shule ipo hata akitumia neno tunajua lina maana nyingi sasa huyu alisomea wapi? Kingereza alifundishwa na wema, zari, na tanasha so hicho kinatosha kabisa kuongea bila makosa?Yuko sahihi, neno hilo lina maana na matumizi tofauti.
Neno Bitch linaweza kutumika kama nomino ama kitenzi. Na hapo kwenye nomino lina maana zaidi ya nne. Na ametumia neno bitch kuimply maana mojawapo katika maongezi yake.
Neno bitch linaweza kutumika kwa mwanaume ama mwanamke kwa sababu lina maana nyingi.
Hata mtu anayecomplain sana anaweza kuitwa bitch, as s/he always complains.
Hata neno "fvck" lina maana nyingi sana lakini watu wameshakariri mtu akisema neno fvck anaimply "kufanya ngono".
Sijajua kiingereza amejifunza wapi, lakini kwa exposure aliyonayo naamini yupo fluent anajitahidi sana. Sizungumzi kama shabiki maana sina hata nyimbo yake moja maana I grew up listening to reggae, oldschool and contemporary Hip Hop.Diamond kingereza alifundishwa chumbani na sio darasani so kubali kukosea kupo na hajui.kuna mtu kweli unajua shule ipo hata akitumia neno tunajua lina maana nyingi sasa huyu alisomea wapi? Kingereza alifundishwa na wema, zari, na tanasha so hicho kinatosha kabisa kuongea bila makosa?
Unajua mtu msomi ambae hajiamini kwenye lugha anatumia maneno simple ili aeleweke. Amesema 'am a player" ilikuwa inatosha mambo ya kuongeza maneno mengine wajue kaiva hayana maana.
Mawakili hua hamkosemanihiyo ni promo tu, coz kwenye editing ingetolewa fasta tu kila mtu atataka akaangalie mwisho viewers kama wote, hizi zinaporekodiwa kuna take two kama zote
director hawezi ruhusu kitu kama hawajafanya intentionally
Unyamwezi Ni Nini mkuu?Bitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga
Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
Soma subtitles, usifanywe kipofu.
😂😂😂Bitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga
Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
haibu==AIBUDogo ni magumashi sana, watu inabidi wamwambie kuwa si kila kitu ni uchawi.....kutojuwa lugha za watu si dhambi kwanini alazimishe kuchapia kitu asichokijuwa? Anatia haibu sana.
Nasikia kama I'm player i want bitch sijajua aliye hiyo itakua kuna error sehemu Lakin hasemi I'm bitch labda kama sisikii vizur
Subtitles haiwezi kukosewa?Husomi ata subtitles
Hujui kiingereza. Kaa kimya.Yuko sahihi, neno hilo lina maana na matumizi tofauti.
Neno Bitch linaweza kutumika kama nomino ama kitenzi. Na hapo kwenye nomino lina maana zaidi ya nne. Na ametumia neno bitch kuimply maana mojawapo katika maongezi yake.
Neno bitch linaweza kutumika kwa mwanaume ama mwanamke kwa sababu lina maana nyingi.
Hata mtu anayecomplain sana anaweza kuitwa bitch, as s/he always complains.
Hata neno "fvck" lina maana nyingi sana lakini watu wameshakariri mtu akisema neno fvck anaimply "kufanya ngono".