Si heri Diamond, Magufuli na maphd yake alikufa bila kumudu hata sentensi moja ya kiingerezaView attachment 2155876
Msikilize mwenyewe:
View attachment 2155877
Akaulizwa: How old are you?
Diamond: 31st
😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si heri Diamond, Magufuli na maphd yake alikufa bila kumudu hata sentensi moja ya kiingerezaView attachment 2155876
Msikilize mwenyewe:
View attachment 2155877
Akaulizwa: How old are you?
Diamond: 31st
😎
mwanaume huitwa MITCH, huenda chibudenga ana papuchi thats why anajiita bitch...Just to be clear.
Mwanaume hawi bitch.
Lakini hiyo ishu inaonekana ni scripted sielewi kwanini wameacha hii scene ionekane
Subiri waje kukupa mwongozoNilimuona mtu kama Mama Diamond nae yupo au ni macho yangu...
NonsenseYuko sahihi, neno hilo lina maana na matumizi tofauti.
Neno Bitch linaweza kutumika kama nomino ama kitenzi. Na hapo kwenye nomino lina maana zaidi ya nne. Na ametumia neno bitch kuimply maana mojawapo katika maongezi yake.
Neno bitch linaweza kutumika kwa mwanaume ama mwanamke kwa sababu lina maana nyingi.
Hata mtu anayecomplain sana anaweza kuitwa bitch, as s/he always complains.
Hata neno "fvck" lina maana nyingi sana lakini watu wameshakariri mtu akisema neno fvck anaimply "kufanya ngono".
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiinglish hicho.. This bitch is 31st years old.
Jinga sana.....yaani hujui kama wanafanya makusudi....kuna process ndefu kabla ya wewe kima kuona videoKwa sababu ni mbumbumbu wa lugha za kigeni, anafikiri kuongea kwa kuchapia Kiingereza ndiyo kujuwa kumbe hajuwi lolote.
Akamatwe haraka sana anatuhaibisha mno.
Yaani katika watu wapumbavu duniani naona wewe ni kilanja wao.....umeona wapi watu wanarekodiwa kuongea broken English ili itrend? Ebu nenda kajipige vidole kule.Jinga sana.....yaani hujui kama wanafanya makusudi....kuna process ndefu kabla ya wewe kima kuona video
PoleniYaani katika watu wapumbavu duniani naona wewe ni kilanja wao.....umeona wapi watu wanarekodiwa kuongea broken English ili itrend? Ebu nenda kajipige vidole kule.