Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

Screenshot_2014-07-26-10-20-32.png

Msanii na Producer anaetamba na Bolingo kwa sasa Bob Junior "Sharobaro" leo ameongelea ama kutoa ushauri kuhusu kutokuelewana kati ya wasanii wawili wa Bongo Fleva Ally Kiba na Diamond Platnumz, Amesema kuwa Ally Kiba ni Best Vocal na Best Artist in Bongo na Africa hivyo amemtaka Mdogo Mdogo ambae kwa jina la wimbo yani Diamond kumuheshimu Ally Kiba, Pia ameendelea kwa kumwambia Ndagushima kwa jina la wimbo yani Ommy Dimpoz kwamba ugomvi huo haumuhusu hivyo asitafute kiki kupitia Beef hiyo.

bb.jpg


Nanukuu "BIFU SIO KITU KIZURI UNAJUA ALIKIBA NI BEST VOCAL ANAJUA AKIFANYA CHO KUJIINUA SO UKIMYA WAKE USIKUFANYE WW KUMTUKANA KIIVYO NA KUMSEMA VIBAYA ATA WW #NGAGUSHIMA HILI BIFU WW ALIKUHUSU ACHA KUTAFUTA KIK KUPITIA BIFU ZA WATU ALIKIBA UR THE BEST AND MY BEST ARTIST IN BONGO AND AFRIKA SO WW #mdogomDOGO
ALIKBA ITS UR BROTHER MUHESHIMU BHANA"
heshima pesa bwana dogo vipi????
 
Muziki si kipaji tu...Ally anaweza kuwa anamzidi dimondi lakini dimondi anaifaham "FITNA" inayohitajika kwenye mziki wa kibiashara... waveja sana.
 
hivi mnaomuimba kiba sasa hivi kama wimbo wa taifa???mlikuwa wapi mpaka akapotea kwenye game,oneni sasa mapovu yanavyowatoka mengi ili mumrudishe.ILA KAMA KWELI MNAJIAMINI ACHENI KUMTUMIA ALMASI. MNABEMBEA SANA MGONGONI KWAKE JAMANI EMBU SHUKENI MTEMBEE WENYEWEEEE!Aaaaangrrrrrrrrr!!!!!!!
 
Kabisa,hapa naona kuna wivu mkali sana unaendelea...Kiba anajipa kazi ngumu sana kurudi kwa staili ya kumponda Diamond,maana inabidi apambane nae haswa sio hii ya kumchoresha kama ni mtu mbaya flani then akafikiri atamu-win, akimshindwa atakuwa kapoteza matarajio ya fans wake then ndio atapotea kabisa..

Na ndicho anachokifanya Ali Kiba kuchochea ugomvi, na ukitaka kufahamu msanii aliyeheishiwa uwa anakimbilia kuanzisha ugomvi.
 
Baaaaaaaaaas!!!! Umemaliza... mtu akiamua kukukataa hata umuimbie ujumbe hatakosa kasoro za kukukosoa kuwa ulikosea hapa na pale...
Kifupi si kila msanii aimbe ujumbe, kama ni ujumbe si mpaka upewe na msanii. Waweza kusoma hata vitabu au majarida.

Tuacheni sisi watu wa burudani tuchetuke na ndomo wetu... tutaendelea kuwakimbiza sana na matuzo kwa mawazo yenu hayo yaliyozeeka...

Mawazo yaliyozeeka kivipi!!!?
 
Best vocal??? Labda best vocal wa wabana pua...
Teja TID atabaki kuwa na sauti ya dhahabu hata kama inakula poda.
 
hivi mnaomuimba kiba sasa hivi kama wimbo wa taifa???mlikuwa wapi mpaka akapotea kwenye game,oneni sasa mapovu yanavyowatoka mengi ili mumrudishe.ILA KAMA KWELI MNAJIAMINI ACHENI KUMTUMIA ALMASI. MNABEMBEA SANA MGONGONI KWAKE JAMANI EMBU SHUKENI MTEMBEE WENYEWEEEE!Aaaaangrrrrrrrrr!!!!!!!

Mkuu we ni mswahili mimi ni mswahili na waswahili sisi tunajuana...Hapa kinachoendelea ni akili pure za kiswahili,yaaani sio kwamba watu wanampenda saaaaana Kiba,hell no...watu wanaona Diamond sasa kapata mtu wa kumuadhibu...Ni kama dua zao za kumfunza adabu Diamond sasa zimesikika maana silaha ya kumuangamiza imeshapatikana.......Sasa uliza kosa haswa la Diamond ni lipi mpaka wanamchukia ivyo utaambiwa "anajifanya yupo juu" "anabebwa" "hana talent"......Kwetu uswahilini awa wapo kibao,jamaa unakuta anamchukia mtu mpaka unashangaa,sasa muulize kwa nini unamchukia kiasi hicho utaskia "anajifanya anajua kuvaa",yani ndio tulivyo waswazi.

Na hichi ndio kinatokea kwa Diamond watu wanakwambia hana lolote anabebwa,so wanachotaka haswa ili roho zao zifurahi zisuuzike ni arudi chini afanane na wasanii wenzie hapo ndio atakuwa kwao wa ukweli,simpo,mtu wa watu,hana makuu nk nk.....

Kosa kubwa kwa waswahili sisi including Kiba na team yake ni Diamond "anajifanya yupo juu" so inabidi ashuke,na kwa akili zao fupi ni kwamba wakukamilisha ilo ni Kiba..
 
Nani anapiga hela zaidi? Anayepiga hela nyingi ndio mshindi. Hizi ndio zile za "peter tosh alikuwa zaidi ya Bob", "Nas ni zaidi ya JayZ".....majungu ya wakosaji tu! kama yeye ndio zaidi kipimo ni nini? idadi ya show? tuzo? kila mtu ana ubora wake. Cha msingi watokee watu waandae mpambano wote wapige hela wabongo wapate burudani.
 
Best vocal??? Labda best vocal wa wabana pua...
Teja TID atabaki kuwa na sauti ya dhahabu hata kama inakula poda.

Ndio ushangae sasa,eti leo kawa best vocalist.... wanamjua Chilla awa? wanamjua Bushoke? wanamjua Nurueli? wanamjua rama dee?...ingekuwa vocal ndio kila kitu nafasi ya Wacko jacko angekaa Prince, wajiulize kwa nini Michael alikuwa juu.....Au nafasi ya Boni Jovi angekaa mtu kama uncle Charlie Wilson....U-Star ni package !!!
 
Mkuu we ni mswahili mimi ni mswahili na waswahili sisi tunajuana...Hapa kinachoendelea ni akili pure za kiswahili,yaaani sio kwamba watu wanampenda saaaaana Kiba,hell no...watu wanaona Diamond sasa kapata mtu wa kumuadhibu...Ni kama dua zao za kumfunza adabu Diamond sasa zimesikika maana silaha ya kumuangamiza imeshapatikana.......Sasa uliza kosa haswa la Diamond ni lipi mpaka wanamchukia ivyo utaambiwa "anajifanya yupo juu" "anabebwa" "hana talent"......Kwetu uswahilini awa wapo kibao,jamaa unakuta anamchukia mtu mpaka unashangaa,sasa muulize kwa nini unamchukia kiasi hicho utaskia "anajifanya anajua kuvaa",yani ndio tulivyo waswazi.

Na hichi ndio kinatokea kwa Diamond watu wanakwambia hana lolote anabebwa,so wanachotaka haswa ili roho zao zifurahi zisuuzike ni arudi chini afanane na wasanii wenzie hapo ndio atakuwa kwao wa ukweli,simpo,mtu wa watu,hana makuu nk nk.....

Kosa kubwa kwa waswahili sisi including Kiba na team yake ni Diamond "anajifanya yupo juu" so inabidi ashuke,na kwa akili zao fupi ni kwamba wakukamilisha ilo ni Kiba..

Nafikiri kiba hana tatizo ila tatizo ni wajinga wanaomzunguuka na kumtia ujinga. Angekua mjanja angeachana nao hao na kujiuunga na huyo mswahili mjanja diamond anaweza kujifunza kitu.. kuna kikundi pale kariakoo na ilala(new jack familly) kilikua kinaongozwa na jamaa anaitwa g-lover mmiliki wa g-recods hawa jamaa hawataki kubadilika na ndio wanaompoteza kiba. Wanaacha kumshauri jamaa kufanya mziki wa biashatra waki wao wako bize kumshinikiza kiba ashindane na diamond.wanampoteza!. Alipo diamond alitakiwa kuwa kiba lkn yupo kwenye mikono ya wajinga. G-lover badilika kufanya mziki hoby ilikua zamani watoe vijana wako kwenye ujinga
 
Mkuu we ni mswahili mimi ni mswahili na waswahili sisi tunajuana...Hapa kinachoendelea ni akili pure za kiswahili,yaaani sio kwamba watu wanampenda saaaaana Kiba,hell no...watu wanaona Diamond sasa kapata mtu wa kumuadhibu...Ni kama dua zao za kumfunza adabu Diamond sasa zimesikika maana silaha ya kumuangamiza imeshapatikana.......Sasa uliza kosa haswa la Diamond ni lipi mpaka wanamchukia ivyo utaambiwa "anajifanya yupo juu" "anabebwa" "hana talent"......Kwetu uswahilini awa wapo kibao,jamaa unakuta anamchukia mtu mpaka unashangaa,sasa muulize kwa nini unamchukia kiasi hicho utaskia "anajifanya anajua kuvaa",yani ndio tulivyo waswazi.

Na hichi ndio kinatokea kwa Diamond watu wanakwambia hana lolote anabebwa,so wanachotaka haswa ili roho zao zifurahi zisuuzike ni arudi chini afanane na wasanii wenzie hapo ndio atakuwa kwao wa ukweli,simpo,mtu wa watu,hana makuu nk nk.....

Kosa kubwa kwa waswahili sisi including Kiba na team yake ni Diamond "anajifanya yupo juu" so inabidi ashuke,na kwa akili zao fupi ni kwamba wakukamilisha ilo ni Kiba..

What I Have Been Saying Exactly....
 
Ndio ushangae sasa,eti leo kawa best vocalist.... wanamjua Chilla awa? wanamjua Bushoke? wanamjua Nurueli? wanamjua rama dee?...ingekuwa vocal ndio kila kitu nafasi ya Wacko jacko angekaa Prince, wajiulize kwa nini Michael alikuwa juu.....Au nafasi ya Boni Jovi angekaa mtu kama uncle Charlie Wilson....U-Star ni package !!!

Point!
 
Kitu nachokiona watu wana wivu juu ya Diamond na si vinginevyo. Muziki kwa sasa umebadilika watu/vijana wanapenda sana muziki wa burudani/mdundo kuliko ujumbe na Diamond amefanikiwa kwahilo, wasanii lazima wabadilike kuendana na soko kama wanahitaji kufanikiwa ktk soko la sasa, wataishia kusema A.Kiba,Jaydee etc wanaimba kuliko Diam. lakini je soko linataka nini? . Hata marekani huwezi linganisha ujumbe wa muziki walivyokuwa wakiimba kina Brandy,Monica, Maria C, TLC,R Kelly,P didy, na wanavyoimba kina Rihanna,Beyonce,JustineB etc wale wazamani walikuwa wanaimba nyimbo zenye ujumbe lakini wamepotea sababu soko linataka kelele/upuuzi kama wa akina Justine/Rihana etc.
Mtamsifia Kiba lakini asipoangalia soko linataka nini Diamond atazidi kuwaacha mbali.

Samahani mkuu natumia opera lakini
tafadhali pokea LIKE yangu.
 
Leo Diamond anachukua tuzo za AFRIMA na hii trend ya kumsifia alikiba itaisha tu.....All in all kiba amejitahidi sana kwenye hii hit song yake ya mwana.But again management ni ishu, kwa song kama hili angetoa video kabisa, kukaribisha wadau waizindue ili publicity hii increase.People watch more tv than listening to radios, akitoa video MTV au hata channel O watamsikia.Last tym I checked on 2012 mpaka 2013 mwanzoni, MSINISEME by Alikiba was the only song with 1 million hits in EA.
 
Ali Kiba na nyimbo zake za kimasomaso ndo yuko juu, juu ya nini sasa? Labda juu ya kinadada wa Bongo movie.
 
Mkuu we ni mswahili mimi ni mswahili na waswahili sisi tunajuana...Hapa kinachoendelea ni akili pure za kiswahili,yaaani sio kwamba watu wanampenda saaaaana Kiba,hell no...watu wanaona Diamond sasa kapata mtu wa kumuadhibu...Ni kama dua zao za kumfunza adabu Diamond sasa zimesikika maana silaha ya kumuangamiza imeshapatikana.......Sasa uliza kosa haswa la Diamond ni lipi mpaka wanamchukia ivyo utaambiwa "anajifanya yupo juu" "anabebwa" "hana talent"......Kwetu uswahilini awa wapo kibao,jamaa unakuta anamchukia mtu mpaka unashangaa,sasa muulize kwa nini unamchukia kiasi hicho utaskia "anajifanya anajua kuvaa",yani ndio tulivyo waswazi.

Na hichi ndio kinatokea kwa Diamond watu wanakwambia hana lolote anabebwa,so wanachotaka haswa ili roho zao zifurahi zisuuzike ni arudi chini afanane na wasanii wenzie hapo ndio atakuwa kwao wa ukweli,simpo,mtu wa watu,hana makuu nk nk.....

Kosa kubwa kwa waswahili sisi including Kiba na team yake ni Diamond "anajifanya yupo juu" so inabidi ashuke,na kwa akili zao fupi ni kwamba wakukamilisha ilo ni Kiba..

Yan nisingekuwa natumia kitoch ningekugongea likes hata buku umeongea point moja matata yani ni zaidi ya fact
 
Ndio ushangae sasa,eti leo kawa best vocalist.... wanamjua Chilla awa? wanamjua Bushoke? wanamjua Nurueli? wanamjua rama dee?...ingekuwa vocal ndio kila kitu nafasi ya Wacko jacko angekaa Prince, wajiulize kwa nini Michael alikuwa juu.....Au nafasi ya Boni Jovi angekaa mtu kama uncle Charlie Wilson....U-Star ni package !!!

Exactly yaani ndio ujue watu wana wivu hadi wanatoka out of point hata ukitaja top 10 ya best rnb vocal jamaa haingii hao uliowataja na wengine wakali wapo wengi tu, ila kuwa star it need more than vocal.

Kama huyo bob jr sishangai kumponda Diamond maana walikuwa na beef so hatoweza kuongea jema kuhusu diamond, ingawa diamond kamfanya hata yeye bob jr asikike.

Kila nabii anamsimu wake Kiba alikuwa best enzi zile na kupata mashavu na akina R. Kelly through Sony huu ni wakati wa diamond sasa hilo akubali tu hata akilipaisha beef lake na diamond halita mfanya yeye kumfunika diamond wakati huu. Mwenzake yuko busy kujitangaza west africa na south bongo kisha weka heshima.
 
Back
Top Bottom