Diamond platnum: Kifesi is my best photographer

Uongo mbaya Heaven on deset anaiweza kazi sema tuu ana fujo nyingi, msumbufu anatusumbua sana na kumfagilia huyo bosi wake, na kujifagilia mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Uongo mbaya Heaven on deset anaiweza kazi sema tuu ana fujo nyingi, msumbufu anatusumbua sana na kumfagilia huyo bosi wake, na kujifagilia mwenyewe

Sion kama kuna ubaya mtu kumsifia mkuu wake wa kazi,hasa kama he is a good boss of u,kama Diamond alivyo kwangu/kwetu
na zaid sifa nazompa zinaonekana kwa kila mtu,tatizo n nini???
 
Last edited by a moderator:
Sion kama kuna ubaya mtu kumsifia mkuu wake wa kazi,hasa kama he is a good boss of u,kama Diamond alivyo kwangu/kwetu
na zaid sifa nazompa zinaonekana kwa kila mtu,tatizo n nini???

Hapo zinaonekana kwa kila mtu futa pimbi wewe usituingize kwenye kundi la mazuzu.
 
Sion kama kuna ubaya mtu kumsifia mkuu wake wa kazi,hasa kama he is a good boss of u,kama Diamond alivyo kwangu/kwetu
na zaid sifa nazompa zinaonekana kwa kila mtu,tatizo n nini???

Msipende kuchanganya ngeli mnaikosea sana...
Code mixing yanini? Fanya code switching basi tuone kama lugha ya malkia unaimudu
 
hiyo acc wote tunajua unapost mwenyewe.
 
du! Kifesi ile pic hata Mimi niliikubali na maulidi ilikuwaje mpaka ikageuka kigodoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…