Diamond platnum: Kifesi is my best photographer

Diamond platnum: Kifesi is my best photographer

Nadhani wewe una akili timamu, Mimi siandiki kishabiki humu, sina urafiki na super star yeyote, akifanya vizuri anasifiwa akiboronga anaambiwa, jaribu Kufikiria mda mwingine kabla ya Ku post
Kupanic muhimu binamu, aaah kuna mtu kanifuraisha eti Kasema una kimbele mbele kama ma nesi wa muhimbili dah kanichekesha sana binamu[/QUOTE

Kawaida tu mbona nimemuonaaa hahhhahhhahhha
 
Ame Ku quote kwani hujaona? Usiende kuntaja uko maana mtu mwenyewe mmh, sitaki umbea mm

Nimemuona watu humu si unakakumbuka kale kalikokua kanamponda Matola ndio hakaa ndio maana kana hasira binamu
 
Nimemuona watu humu si unakakumbuka kale kalikokua kanamponda Matola ndio hakaa ndio maana kana hasira binamu

Eeh yaan umbea mwingi hadi nimesahau unajua nilijua kaku quote jukwaa lingine kumbe humu humu duh mbona shughuli binamu
 
Eeh yaan umbea mwingi hadi nimesahau unajua nilijua kaku quote jukwaa lingine kumbe humu humu duh mbona shughuli binamu

Hahhhahhhahhha weweee tushawazoeaaa banaa we mwenyewe wanakutukanagaa weeee unawapotezeaa waje na mipasho mipyaa kila siku ile ilee
 
Hahhhahhhahhha weweee tushawazoeaaa banaa we mwenyewe wanakutukanagaa weeee unawapotezeaa waje na mipasho mipyaa kila siku ile ilee

Hapa ndo wamebugi, mbona vichambo nimekula sana, ila bado napeta tuu
 
Hapa ndo wamebugi, mbona vichambo nimekula sana binamu? Wamechemka wenyew, Umbea kuacha siwezi watanisamehe maana upo kwenye damu...

Na hatuachii ng'o wao wenyewe wanaupenda ndio maana wanachangiaa na kuja speed miti yenye matunda ndio hupigwaa maweee
 
Nadhani wewe una akili timamu, Mimi siandiki kishabiki humu, sina urafiki na super star yeyote, akifanya vizuri anasifiwa akiboronga anaambiwa, jaribu Kufikiria mda mwingine kabla ya Ku post
Kupanic muhimu binamu, aaah kuna mtu kanifuraisha eti Kasema una kimbele mbele kama ma nesi wa muhimbili dah kanichekesha sana binamu


sasa naona unataka niamini point hii
.
Code:
Secrety Service
hiyo acc wote tunajua unapost mwenyewe.
.
Mana naona una comments nonsense points whats the hell on your --- --- you just trying to clear your title huh
.
Haya go ahead and hug -----mer Na !
.
 
sasa naona unataka niamini point hii
.
Code:
Secrety Service
hiyo acc wote tunajua unapost mwenyewe.
.
Mana naona una comments nonsense points whats the hell on your --- --- you just trying to clear your title huh
.
Haya go ahead and hug -----mer Na !
.

No comment yet
 
Back
Top Bottom