Nadhani wewe una akili timamu, Mimi siandiki kishabiki humu, sina urafiki na super star yeyote, akifanya vizuri anasifiwa akiboronga anaambiwa, jaribu Kufikiria mda mwingine kabla ya Ku post
Kupanic muhimu binamu, aaah kuna mtu kanifuraisha eti Kasema una kimbele mbele kama ma nesi wa muhimbili dah kanichekesha sana binamu[/QUOTE
Kawaida tu mbona nimemuonaaa hahhhahhhahhha
Halafu na wewe mwanamke kimbele mbele kama manesi wamuhimbili
Ame Ku quote kwani hujaona? Usiende kuntaja uko maana mtu mwenyewe mmh, sitaki umbea mm
Eeh yaan umbea mwingi hadi nimesahau unajua nilijua kaku quote jukwaa lingine kumbe humu humu duh mbona shughuli binamu
Hapa ndo wamebugi, mbona vichambo nimekula sana binamu? Wamechemka wenyew, Umbea kuacha siwezi watanisamehe maana upo kwenye damu...
Nadhani wewe una akili timamu, Mimi siandiki kishabiki humu, sina urafiki na super star yeyote, akifanya vizuri anasifiwa akiboronga anaambiwa, jaribu Kufikiria mda mwingine kabla ya Ku post
Kupanic muhimu binamu, aaah kuna mtu kanifuraisha eti Kasema una kimbele mbele kama ma nesi wa muhimbili dah kanichekesha sana binamu
Secrety Service
hiyo acc wote tunajua unapost mwenyewe.
sasa naona unataka niamini point hii
.
.Code:Secrety Service hiyo acc wote tunajua unapost mwenyewe.
Mana naona una comments nonsense points whats the hell on your --- --- you just trying to clear your title huh
.
Haya go ahead and hug -----mer Na !
.
hongera zako it feels gr8 when your boss appreciate ur workha ha ha bora umeiweka wewe warumi ningeleta mm pangetosha ....