kwani nani kaifungua?Daimond futa hii kesi,itakucost kimataifa,watu hawataki kuskiaga umewaneglect watoto wako..............................ifute mapema kabla haijaenea duniani.....................
Ajifunze kutafta zake...hataki hizo anataka milion 5 kwa mwezi
Unaongea na diamond nini?wasimtumie mtoto kama chambo,anahitaji mapenzi yote baba na mama,Diamond una responsibility,ndio kiumbe kilishakuja duniani hivyoooo,uzire,unune,ubwatuke Instagram,at the end of the day,ka Abdul kapo hapooooooo kanachojua ni maziwa tu ππππ ungekua hutaki kuzaa ungetumia condom,umeenda kavu hayo ndo matokeo,usitake history ijirudie,baba yako hakuwa baba mwenye malezi kwako,mmepatana na wewe unataka kufanya the same thing kwa kabebi Abdul,ngoja awe messi wa Tanzania ndio uanze kujigonga kwake baadae,lol DAIMOND you should man up...............
SawaSio wa kwanza alitakiwa kujifunza alivompata fanta huu usingo mama wa hivi hadi lini? Binti mdogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani namaanisha ze sheep is come wiz ze englishi
La kujifunza hapo ni aina ya mwanamke wa kubeba ukiangalia uzuri tu utaumia, huu mchezo hata huku mitaani upo sana,Diamond akome, wanaume mna la kujifunza
Vimwanamke siku hizi mimba ni kitega uchumi
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] aiseee mnajua mengi nyuma ya pazia!Hamisa amuulize Wema maana analijua balaaa la Domo...
Domo hatoagi hata mia anapenda maku za bure kigezo kikiwa ni ndoa na haoi!
Alimnyonyolesha Wema upara na kumvalisha madera ili tu asinunue Mawigi ya malaki na vitopu vya Gucci
kwani nani kaifungua?
Hawala=hawaraDiamond amefunga ndoa lini? Ukiishi na hawala hiyo wewe ndio unaita ndoa?
Kaka mi nattommbeaga mbali hukooo. Pia nina chumba tabata ikibidi ndo namuambia hapo ndo kwangu.La kujifunza hapo ni aina ya mwanamke wa kubeba ukiangalia uzuri tu utaumia, huu mchezo hata huku mitaani upo sana,
Unakuta umejenga upo na mke wako alafu kuna bar ya jiran umezoea kunywa hapo,
Utakuta kuna vibinti vinajipitisha hapo ni balaa na ni majirani na mkeo wamfahamu sasa wewe jidanganye useme nimependwa upite naye hata mara moja,
Ujue mimba inakuhusu na hawatoi yaani unaweza tamani kuhama mtaa na umejenga!
Nyie ndio washauri wa Hamissa?,mbona 70 yake kwa mwezi ipo pale palewasimtumie mtoto kama chambo,anahitaji mapenzi yote baba na mama,Diamond una responsibility,ndio kiumbe kilishakuja duniani hivyoooo,uzire,unune,ubwatuke Instagram,at the end of the day,ka Abdul kapo hapooooooo kanachojua ni maziwa tu ππππ ungekua hutaki kuzaa ungetumia condom,umeenda kavu hayo ndo matokeo,usitake history ijirudie,baba yako hakuwa baba mwenye malezi kwako,mmepatana na wewe unataka kufanya the same thing kwa kabebi Abdul,ngoja awe messi wa Tanzania ndio uanze kujigonga kwake baadae,lol DAIMOND you should man up...............
Nyie ndio washauri wa Hamissa?,mbona 70 yake kwa mwezi ipo pale pale