Asante...Kesi yenye pesa za wazi kama hii wakili yeyote anaingia kazini malipo yatatoka humohumo, hao mawakili wengine ni wadogo zetu tena kesi kama ya Wema Sepetu anatetewa bure bila malipo mawakili wanatengeza CV zao
ndio mkuu notification zinanifikia..natumia web version na AppHivi mkuu huwa wanakutumia notification kila uzi ukianzishwa au inakuwaje? Otherwise wewe ni mnoma
It looks like inefective to me..😀Kingereza kilikuja na meli kweli aisee
Mnatutesa saana lol .....Hahahaaaa. Tuna nini jirani?
Hamisa sasa hata ile laki tano ndio hutoiona....utaishia kupata 70,000 ya serikali tu........dhiki za familia usipeleke kwa familia nyingine mtaishia kuuza utu.
Inamaana hamisa angezaa na chid benz leo hii angeambulia hata ten kwa wiki kweli...?
KAZAA NA WENYE PESA WANGAPI MKUU TUJUZANE!Sema huyo manzi Hamisa ana njaa kali sana, yaan yeye timing yake ni kuzaa na wenye pesa tu, hana shughuli maalum mjin
....Jamani yaani asuguliwe tuu bure kipochi manyoya chake? Si tumesema kiuno huku tauni ni mtaji atii?Sema huyo manzi Hamisa ana njaa kali sana, yaan yeye timing yake ni kuzaa na wenye pesa tu, hana shughuli maalum mjin
Hahaaa. Haswa pale mnapokosa pa kuingia kuteseka lazima jirani.Mnatutesa saana lol .....
Nakumbuka matunzo ya mtoto ilikuwa ni sh elfu hamsini(50,000) kwa mwezi.Hamisa anazitafuta milioni tano kwa mwezi. Ila haya mambo ya kulazimisha vitu mwisho wake huwa si mnzuri hata kidogo. Pamoja na kwamba matunzo ni haki ya mtoto ila nachokiona Hamisa anazidi kujidhalilisha tu.
Mbona siku hizo zote hapeleki hizo elfu 70 mpaka aburuzwe mahakamani??
Wewe ni mjinga, Diamond hana ndoa, pili kwenye court of law kuna umri ambao lazima mtoto afike ndio baba unaweza kupewa mtoto unless court ithibitishe pasi na shaka yoyote kwamba mtoto kuendelea kukaa na mama kuna madhara makubwa. Na uelewe kipengere hiki hakijatowa sababu za kubuni au kutunga, sababu mojawapo labda mama ithibitike ana tatizo la afya ya akili mental case.Siyo assumption hii mkuu.....mimi kama Diamond namchukua mwanangu alelewe na bibi yake ama Zari na mimi mwenyewe ila si kwa Hamisa na nakata kabisa mawasiliano naye. Changu haendekezwi hata siku moja, wao ni kuharibu ndoa za watu tu.
Hivi mkuu huwa wanakutumia notification kila uzi ukianzishwa au inakuwaje? Otherwise wewe ni mnoma
Ndugu yangu taratibu na mbavu zangu jamaniYani namaanisha ze sheep is come wiz ze englishi
Am sure si yeye aliyesambaza zile clipHapo hamna kesi matunzo ni 70000 tu kwa mwezi....case ya kuombwa radhi haipo mana yeye ndio anapaswa kumuomba radhi chibu kwa kutuma clip kumdhalalisha