Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Hii ndio Diamond anataka. Mahakama itatoa amri ya kutoa sh 100000 kwa mwezi. Kwa miaka saba
 
Mi najiandaa siku hiyo ya kesi navaa tshirt yangu ya WCB nakaa mbele kabisa. Ili kila picha ya mapaparazi nitokee
 
Siyo assumption hii mkuu.....mimi kama Diamond namchukua mwanangu alelewe na bibi yake ama Zari na mimi mwenyewe ila si kwa Hamisa na nakata kabisa mawasiliano naye. Changu haendekezwi hata siku moja, wao ni kuharibu ndoa za watu tu.
Pitia sheria za mtoto vizuri utagundua kuwa baba hawezi kumchukua mtoto mchanga kama huyo kwa mama yake mpaka aidhibitishie mahakama vitu kadha wa kadha ambavyo kwa haraka-haraka Mobeto hawezi kupokonywa mtoto kamwe.
 
Child Support ipo kwa kwaajili ya wasanii au kwa watanzania wote?

Wale wadada wanaopigwa mimba na baba kusepa haya sasa Mmeonyeshwa njia...
 
Jamani nisaidieni JUVENILLE COURT kwa mimi nielewavyo, ni mahakama zinahosika na kesi ambazo watoto au vijana wadogo ndio washitakiwa.
 
Mwanamuziki Diamond Platnumz amepelekewa wito wa kuitwa mahakama ya watoto na mzazi mwenzake, Hamisa Mobeto kwa madai ya kushindwa kumuomba radhi na kutoa matunzo ya mtoto.

Mwanamuziki Diamond Platnumz amepelekewa wito wa kuitwa Mahakama ya Watoto na mzazi mwenzake, Hamisa Mobetto kwa madai ya kushindwa kumuomba radhi na kutoa matunzo ya mtoto.

Wito huo wa Diamond umewasilishwa na mawakili wa Mabetto, Abdullah Zulu na Walter Godluck kutoka Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys.

Katika wito huo Diamond Platnumz anadaiwa kumdhalilisha na kutompa matumizi ya mtoto kwa takribani miezi miwili.

Wakili Zulu akizungumza na Gazeti la Mwananchi leo Alhamisi amesema mteja wao Hamisa Mobetto alimtumia Diamond notisi ya kumuomba radhi na kumtaka apeleke matunzo ya mtoto ndani ya siku saba.

“Baada ya kuona kimya tulipeleka kesi katika Mahakama ya Kisutu upande wa watoto (The Juvenile Court Of Dar es Salaam) na leo(Alhamisi) tumepewa barua ya wito na tayari mwanasheria wa mwanamuziki huyo ameipokea,” amesema.

Zulu amesema kesi hiyo itaanza kusikilizwa Oktoba 30, mwaka huu.
Ndio tatizo la kudate na ma gold diggers.
 
Daimond futa hii kesi,itakucost kimataifa,watu hawataki kuskiaga umewaneglect watoto wako..............................ifute mapema kabla haijaenea duniani.....................
Finally u have said the bitter truth
 
du! kama anampenda dai na huku tena mahakamani ili penzi limekaaje tena
 
Back
Top Bottom