Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

diamond will be performing live
ungemalizia lakini kwa msaada wa CD.

Tanzania hatuna msanii mwenye uwezo wa kufanya show live kama wenzetu
Kwanza live band michosho bora CD pumbabuvu
 
Wa2 wakiona neno 'live' wanataka shurti pawe na bendi!!!
Basi tuwe na neno 'live bila bendi' kwa wenzangunamie wanaopafom kwa kutumia DJ na dancers!!!
 
diamond will be performing live
ungemalizia lakini kwa msaada wa CD.

Tanzania hatuna msanii mwenye uwezo wa kufanya show live kama wenzetu
Kwa msaada wa CD au msaada wa DJ? Maana sk hizi ma DJ wanatumia laptop!!!
Au tuseme tu kwa 'Playback'!!!
 
diamond will be performing live
ungemalizia lakini kwa msaada wa CD.

Tanzania hatuna msanii mwenye uwezo wa kufanya show live kama wenzetu
Show za live zinafaa kwenye indoors tu, wana nzengo wa Iringa, Sumbawanga sijui Katavi uwaimbie Live utakuwa na akili kweli.
.
Waimbie live next door arena pale au mlimani city Leaders club tupigie makelele sie hatujaja kusikiliza gospel
 
diamond will be performing live
ungemalizia lakini kwa msaada wa CD.

Tanzania hatuna msanii mwenye uwezo wa kufanya show live kama wenzetu
Barnaba boy classic
Aslay
Christian bella
Damian soul
nazan hao ni baadhi tu ko naomba ufute kauli yako na uombe msamaha wanajamii forum
 
Rais wa WCB pamoja na Rais wa FIFA


Secretary General of FIFA ,Fatma.

79821584_534819193796317_3880974116045588337_n.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20200105-154339.png
    Screenshot_20200105-154339.png
    81.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom