Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Ni kawaida tu kutokubalika na watu wote.Mungu mwenyewe kuna watu hawamkubali,itakuwa Diamond?
 
You just wait time will tell,sio siku nyingi sana mpaka nyimbo hiyo iachiliwe.
 
Hii ni habari njema sana kwa sisi Watanzania wapenda maendeleo ya vijana wetu...... kama ni habari ya kweli••••• maana hawa wasanii wa kibongo mara nyingi wamekuwa wakijitekenya na kucheka wenyewe.
 
Umeandika kwa Mahaba sana, FIFA si waliyomchagua, Amechaguliwa na Coca Cola Akiwa Kama Brand Ambassador kwa Tanzania. Vile vile Coca-Cola ndo Main Sponsor wa World Cup 2018. So Diamond anaungana na Mabalozi wa Coca-Cola Brand Kutoka Nchi Nyinginezo tajwa. Nadhani Nimeeleweka. Pia nimemjibu na ambaye amehoji kuhusu Why Alikiba asiteuliwe, Sababu ni hiyo Moja, kua yeye balozi wa Coca-Cola Brand.
 
Kiba aitwag kwenye shoo za bata yeye muulizie Vegas, [BCarlifoniaTexas/B] Utamkuta uko kwenye mastage
 

Hatimae kijana wetu ambaye ni nembo ya taifa katika tasnia ya muziki katuwakilisha na kutuweka kwenye ramani ya dunia

Ikiwa ni siku chache zimebaki kwa kombe la dunia kuanza msanii Diamond Platnumz kwa kushirikiana na Msanii maarufu wa Marekani, Jason Derulo wametoa ngoma itakayochezwa katika matangazo ya kombe la dunia

Kwa hakika hii nyimbo itatutangaza Tanzania katika masikio na mboni za mabilioni ya watu waanaosubirira kwa hamu kombe la dunia😎😎 Ni kazi maridhawa kabisa inayoenda kwa jina la "colours"

Kwa sasa ni audio pekee imetoka, Tujivunie vya kwetu na tufurahie juu ya hii rasilimali ambayo Tanzania tumeipata

MINYA HAPA KUUSIKILIZA
 

Attachments

Mkuu hii itakuwa Remix?
Mbona Colours Jason Derulo kesha iachia ikiwa na Video kabisa
 
Hii Ni project mwendelezo mkuu kuna zingine zimeshatoka kuna project yupo na MALUMA na ingine yupo na cassper nyovest and now kijana wetu diamond
 
Hii Ni project mwendelezo mkuu kuna zingine zimeshatoka kuna project yupo na MALUMA na ingine yupo na cassper nyovest and now kijana wetu diamond
Yeah ni kweli mkuu, Kwa ujumla zote zitachezwa mbele ya mabilioni ya watu watakaokua wakifatilia kombe la dunia, Zitakua zinapoekezana katika matangazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…