Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

KOMBE LA DUNIA.
Diamond Platnumz ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa miongoni mwa wasanii watakao perform kwenye uzinduzi wa Kombe La Dunia nchini Urusi.
84c95c7c5b3f76b38c2252cfe8737e31.jpg

Vile vile,Katika kombe la dunia hilo Diamond Platnumz watakutana na wasanii kama JasonDarulo,CassperNyovest na wasanii wengine wengi kutoka nchi mbali mbali zikiwemo Uganda,Ethiopia,na Msumbiji katika wimbo uitwao [HASHTAG]#COLOR[/HASHTAG],unatarajia kutoka mapema tarehe 16 March mwezi huu.
20333f06e3fb87930a0e0ba69f86c611.jpg

Huo ni miongoni mwa uwanja uliopo nchini Urusi.

Kikubwa watanzania wenzangu Tusuport na kumuombea sana maana nchi yetu tulidharauliwa sana kila nyanja kupitia Diamond Platnumz ,Now tuko kwenye Ramani ya Dunia.
FIFA World Cup 2018 Performers List
FIFA Opening Ceremony is one of the biggest events in sports. Celebrities from all over the world come in huge numbers and many celebs even perform on the Opening Ceremony Stage. 2014 Fifa World Cup Opening Ceremony saw Jennifer Lopez and Pitbull headlining the show. It will be interesting to see who will headline this edition of Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. It is expected the singer/musician of Fifa World Cup 2018 Theme Song will headline upcoming ceremony.ce Till now there is no official announcement on the list of celebrity performance at Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. We will update you with the latest information as soon as official announcements are made.

sijui unaweza kutusaidia source ya habari yako kaka?..au kuturembea picha ya huyo bwana mixer na mipira sijui na madude gani ndo unahisi utatuhadaa kirahisi...ilipofanyika AFRIKA KUSINI tupu bara lake hakuna mTanzania aliyepata nafas itakuwa leo Urus?
 
FIFA World Cup 2018 Performers List
FIFA Opening Ceremony is one of the biggest events in sports. Celebrities from all over the world come in huge numbers and many celebs even perform on the Opening Ceremony Stage. 2014 Fifa World Cup Opening Ceremony saw Jennifer Lopez and Pitbull headlining the show. It will be interesting to see who will headline this edition of Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. It is expected the singer/musician of Fifa World Cup 2018 Theme Song will headline upcoming ceremony.ce Till now there is no official announcement on the list of celebrity performance at Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. We will update you with the latest information as soon as official announcements are made.

sijui unaweza kutusaidia source ya habari yako kaka?..au kuturembea picha ya huyo bwana mixer na mipira sijui na madude gani ndo unahisi utatuhadaa kirahisi...ilipofanyika AFRIKA KUSINI tupu bara lake hakuna mTanzania aliyepata nafas itakuwa leo Urus?
Hahhhhahhahahahahahahahaahaaa ngoja yule mwandika essay huku jf aje sijui kama ana mke manake 24/7 yupo jf kuandika essay
 
KOMBE LA DUNIA.
Diamond Platnumz ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa miongoni mwa wasanii watakao perform kwenye uzinduzi wa Kombe La Dunia nchini Urusi.
84c95c7c5b3f76b38c2252cfe8737e31.jpg

Vile vile,Katika kombe la dunia hilo Diamond Platnumz watakutana na wasanii kama JasonDarulo,CassperNyovest na wasanii wengine wengi kutoka nchi mbali mbali zikiwemo Uganda,Ethiopia,na Msumbiji katika wimbo uitwao [HASHTAG]#COLOR[/HASHTAG],unatarajia kutoka mapema tarehe 16 March mwezi huu.
20333f06e3fb87930a0e0ba69f86c611.jpg

Huo ni miongoni mwa uwanja uliopo nchini Urusi.

Kikubwa watanzania wenzangu Tusuport na kumuombea sana maana nchi yetu tulidharauliwa sana kila nyanja kupitia Diamond Platnumz ,Now tuko kwenye Ramani ya Dunia.
Derulo, Nyovest kuimba wimbo Kombe la Dunia 2018
Kuchapa
0 Comments


WASANII Jason Derulo wa Marekani na Cassper Nyovest wa Afrika Kusini wamechaguliwa kuimba wimbo rasmi wa Kombe la Dunia 2018.

Taarifa kutoka mtandao wa Coca-Cola imeeleza kuwa, wasanii hao wataimba wimbo wa ‘Colours’ ambao utakuwa wimbo rasmi utakaotumika kwenye michuano hiyo.

Wimbo wa ‘Colours’ unatarajiwa kuachiwa rasmi Machi 16 mwaka huu na utakuwa na vionjo kutoka Afrika na Kilatini.

Kwa upande wa msimamizi Brad Ross, amebainisha kuwa wamewaunganisha wasanii hao ili kuleta ubunifu na utofauti. Kwa kushirikiana na Jason Derulo, Coca-Cola wamewatumia wasanii kutoka Afrika Kusini, Switzerland, Saudi Arabia kutengeneza wimbo huo.

Fainali za kombe la dunia 2018 zinatarajiwa Urusi kuanzia Juni 14 mwaka huu.


KWANI LAZIMA MDANGANYE?
 
Derulo, Nyovest kuimba wimbo Kombe la Dunia 2018
Kuchapa
0 Comments


WASANII Jason Derulo wa Marekani na Cassper Nyovest wa Afrika Kusini wamechaguliwa kuimba wimbo rasmi wa Kombe la Dunia 2018.

Taarifa kutoka mtandao wa Coca-Cola imeeleza kuwa, wasanii hao wataimba wimbo wa ‘Colours’ ambao utakuwa wimbo rasmi utakaotumika kwenye michuano hiyo.

Wimbo wa ‘Colours’ unatarajiwa kuachiwa rasmi Machi 16 mwaka huu na utakuwa na vionjo kutoka Afrika na Kilatini.

Kwa upande wa msimamizi Brad Ross, amebainisha kuwa wamewaunganisha wasanii hao ili kuleta ubunifu na utofauti. Kwa kushirikiana na Jason Derulo, Coca-Cola wamewatumia wasanii kutoka Afrika Kusini, Switzerland, Saudi Arabia kutengeneza wimbo huo.

Fainali za kombe la dunia 2018 zinatarajiwa Urusi kuanzia Juni 14 mwaka huu.


KWANI LAZIMA MDANGANYE?
hizi evidence zinatoshaaa.......namsubiriaa tu baba ma essay aje kukujibu
 
Haya wanaz wenzie muendee
Mkale maandaz na domo
 
Habari ni ya ukweli Link hii hapa
African music to add colour at Russia 2018 Soccer World Cup
"
Tim Horwood, executive creative director and CEO at Mashoba Media, is a leading light in pan-African music and was awarded the contract by Coca-Cola to produce the Southern and East African music adaptations for the World Cup.

He chose artists from Uganda, Tanzania, Ethiopia, Mozambique and SA.

Colours, the Coca-Cola World Cup anthem, was composed by American pop singer Jason Derulo. It is based on the idea that music brings people together. "Colours is about how we all have an identity. And people should be proud of who they are," says Derulo.

The song was recorded in studio in Los Angeles.

Artists from all over the world were invited to add their local flavour and represent their regions, creating a pool of songs that will expose audiences to a global diversity.

Most of the collaborations were done digitally, but SA hip-hop artist Cassper Nyovest tra
"Optimism is a big Coca-Cola brand value," explains Horwood. "As an independent artist who fills up venues like The Dome and FNB Stadium, Nyovest is a success story and an inspiration. "He has done it his way, professionally and respectfully. He has taken risks with a smile on his face and pulled it off.

"He is a down to earth guy and is passionate about the pan-Africa space. It is also nice to bring a hip-hop element into the collaboration as it is a driving force on the [music] scene across the world."

Sami Dan from Ethiopia; Lizha James from Mozambique; Ykee Benda, an exciting new artist from Uganda; and Diamond Platnumz, a well-established artist from Tanzania, also produced songs, which will depict the colours and styles of their countries and challenge negative international stereotypes of Africa.velled to Los Angeles to record with Derulo."


"
 
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.

Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
Kama hiyo habari ni yakweli, kuna baadhi ya watanzania wasiopenda mafanikio yake wamechukia sana
 
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.

Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
Faida ya kuzaa na Zari hiyo
 
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.

Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
kumbe naww unamkubari chibu
 
hongera Mond! FIFA imemuaibisha Shonza waziri wa kufungia wasanii!
 
FIFA World Cup 2018 Performers List
FIFA Opening Ceremony is one of the biggest events in sports. Celebrities from all over the world come in huge numbers and many celebs even perform on the Opening Ceremony Stage. 2014 Fifa World Cup Opening Ceremony saw Jennifer Lopez and Pitbull headlining the show. It will be interesting to see who will headline this edition of Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. It is expected the singer/musician of Fifa World Cup 2018 Theme Song will headline upcoming ceremony.ce Till now there is no official announcement on the list of celebrity performance at Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. We will update you with the latest information as soon as official announcements are made.

sijui unaweza kutusaidia source ya habari yako kaka?..au kuturembea picha ya huyo bwana mixer na mipira sijui na madude gani ndo unahisi utatuhadaa kirahisi...ilipofanyika AFRIKA KUSINI tupu bara lake hakuna mTanzania aliyepata nafas itakuwa leo Urus?
Bora kukaa kimya kuliko kujifanya mjuaji,je ikija taarifa ya kweli utajificha wapi?
 
Back
Top Bottom