Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

KOMBE LA DUNIA.
Diamond Platnumz ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa miongoni mwa wasanii watakao perform kwenye uzinduzi wa Kombe La Dunia nchini Urusi.
84c95c7c5b3f76b38c2252cfe8737e31.jpg

Vile vile,Katika kombe la dunia hilo Diamond Platnumz watakutana na wasanii kama JasonDarulo,CassperNyovest na wasanii wengine wengi kutoka nchi mbali mbali zikiwemo Uganda,Ethiopia,na Msumbiji katika wimbo uitwao [HASHTAG]#COLOR[/HASHTAG],unatarajia kutoka mapema tarehe 16 March mwezi huu.
20333f06e3fb87930a0e0ba69f86c611.jpg

Huo ni miongoni mwa uwanja uliopo nchini Urusi.

Kikubwa watanzania wenzangu Tusuport na kumuombea sana maana nchi yetu tulidharauliwa sana kila nyanja kupitia Diamond Platnumz ,Now tuko kwenye Ramani ya Dunia.
Ulisapoti na kumubea??
 
Mlielewa vibaya, kombe la dunia la 2022 ndilo atalo pafomu
 
Mkuu vinci' hyo poster inaonesha 18' mambo ya 2022 bado sana. Vipi jamaa aliamua kumfunga kamba hadi mwakyembe?
D ni mseee sana mkuu liongo balaaa.
Alinifanya niangalie ile mechi ya kiboya saudia na Rusia nikijua ataanza yy kutumbwiza. Baadae nikasubir toka saa 9 siku ya final lakini wapii
 
D ni mseee sana mkuu liongo balaaa.
Alinifanya niangalie ile mechi ya kiboya saudia na Rusia nikijua ataanza yy kutumbwiza. Baadae nikasubir toka saa 9 siku ya final lakini wapii
Hahahaha mkuu wa wizara kapigwa changa. Sembuse sisi, tumvumilie tuu bana tutafanyaje sasa ndo tuliyepewa huyo
 
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.

Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
walichaguliwa kuimba tu na wimbo upo you tube siku nyingi tu
 
Back
Top Bottom