Lavalava ana dili la uber, Zuchu ni balozi wa infinix pamoja na kampuni ya nywele na vipodozi za ngozi, sasa best queen darling nae ni msanii au yupo pale kwasababu ni ndugu wa diamond? Nimekuuliza nitajie msanii aliyemzidi diamond kwa ubalozi unasema Nandy upo serious kweli? au ujaelewa swali langu
Usiwe unaongea bila kufanya utafiti ndio maana vitu vingi ujui dili la kwanza kupata Zuchu lilikuwa la nywele huo ubalozi wa infinix kapata hapa juzi juzi bibie unakuaje hater alafu ujui mambo ya watu unaowachukia? sasa best ninawezaje kumchukia Nandy? Nimchukie ili iweje?kwa hiyo bidada Nandy kamzidi mondi kwa ubalozi?Inaonekana nandy anawachukiza sana. Kwani ubalozi gani unaouulizia ambao nandy hana?nimekutajia huyo au ulitegemea nikutajie kiba au harmo ili upovuke zaidi? zuchu namuona zaidi kwenye mabango ya wasafi bet kuliko hizo deal unazozitaja
Usiwe unaongea bila kufanya utafiti ndio maana vitu vingi ujui dili la kwanza kupata Zuchu lilikuwa la nywele huo ubalozi wa infinix kapata hapa juzi juzi bibie unakuaje hater alafu ujui mambo ya watu unaowachukia? sasa best ninawezaje kumchukia Nandy? Nimchukie ili iweje?kwa hiyo bidada Nandy kamzidi mondi kwa ubalozi?
Hayo masuala ya Wasafi festival waulize Wasafi wenyewe ila hapa nipo kwaajili ya kuwekana sawa kihoja ebu nenda kwenye page yake ya Zuchu insta utaona ana post Sana ubalozi wa simu infinix kuwa kwake Wasafi bet sidhani inazuia yeye kutangaza bidhaa zingine Nandy ni msanii mzuri sidhani kwamba Wasafi au yeye anamtazamo kama wako hivi umewahi kuona Nandy kawazungumzia vibaya Wasafi au Wasafi wamemzungumzia vibaya Nandy sasa hayo mambo yakusema anawapelekesha yanatoka au wewe ndio unatengenezaSasa ubalozi wa nywele hadi paula wa kajala anao. Yaan yoote niliyoyaandika hujaona kuwa zuchu yupo kwenye mabango ya wasafi bet kuliko ya ubalozi unaousemea? Sijawahi mchukia zuchu,labda ulazimishe nimchukie. Yeah bidada anawapelekesha mpaka mnasahau wasafi festival hivi ni lini?
Hayo masuala ya Wasafi festival waulize Wasafi wenyewe ila hapa nipo kwaajili ya kuwekana sawa kihoja ebu nenda kwenye page yake ya Zuchu insta utaona ana post Sana ubalozi wa simu infinix kuwa kwake Wasafi bet sidhani inazuia yeye kutangaza bidhaa zingine Nandy ni msanii mzuri sidhani kwamba Wasafi au yeye anamtazamo kama wako hivi umewahi kuona Nandy kawazungumzia vibaya Wasafi au Wasafi wamemzungumzia vibaya Nandy sasa hayo mambo yakusema anawapelekesha yanatoka au wewe ndio unatengeneza
Bibie kwani kila ubalozi lazima uwekwe kwenye mabango?ndugu sijapanic nimeshangaa tu tu ulivyosema Nandy ana ubalozi wa makampuni mengi kuliko mondi, Nitajie makampuni ambayo yamempa ubalozi Nandy tulinganishe na yale ya diamond tuone hiyo kauli yako yakusema Nandy amemzidi mondi kwa ubaloziSawa sawa umerudi kwenye mstari sasa tuje kwa zuchu mbona ubalozi wa wasafi bet mabango yake yapo kila kona teena makuubwa ila hayo infinix yapo kwenye page yake tu tena insta kwa mujibu wa post yako hii,je na zuchu ni balozi wa wasafi bet?
Kwa nandy umeulizia msanii nje ya wasafi nimemtaja yeye ukapanic. Pole kijana
Bibie kwani kila ubalozi lazima uwekwe kwenye mabango?ndugu sijapanic nimeshangaa tu tu ulivyosema Nandy ana ubalozi wa makampuni mengi kuliko mondi, Nitajie makampuni ambayo yamempa ubalozi Nandy tulinganishe na yale ya diamond tuone hiyo kauli yako yakusema Nandy amemzidi mondi kwa ubalozi
Sasa mbona yeye wakati ruge anachukua asiliamia zake alianza kupiga kelele.
Rekebisha hapo kusema boss wangu point yangu ipo wewe umesema kuwa diamond anawabania kuwapa ubalozi nami nimekwambia ingekuwa ni hivyo kama unavyosema tungekuwa na wasanii nje ya Wasafi wanamzidi diamond kwa ubalozi ningethibitisha kauli yako lakini nikuulize mbona hakuna msanii hata mmoja?Nimeshajibu swali husika la msanii nje ya wasafi imetosha na wewe mwenyewe ushakimbilia account ya msanii husika kuona hizo dili. Hivyo inno boss wako ajirekebishe unyonyaji akipewa dili asilazimishe wasanii wake wawe humo wakati hawapati chochote. Wale wanamkimbia kwa mengi,akijirekebisha atakua juu zaidi ya hapo
Rekebisha hapo kusema boss wangu point yangu ipo wewe umesema kuwa diamond anawabania kuwapa ubalozi nami nimekwambia ingekuwa ni hivyo kama unavyosema tungekuwa na wasanii nje ya Wasafi wanamzidi diamond kwa ubalozi ningethibitisha kauli yako lakini nikuulize mbona hakuna msanii hata mmoja?
Nandy katoboa baada ya kumpa Ruge uchi mpaka sasa hivi Nandy ana backup ya clouds usifikiri ni pesa yake ile msanii mwenye mkwanja wa maana shilole labda ungesema huyu ningekuelewaTatizo uchawa umekuzidi ndo maana unaona nje ya wasafi hakuna maisha wakati watu wanakula deals tamu nje ya Boss wako. Inno wake up juzi tu hapa msanii niliyekutajia kafunga ndoa na sherehe ikawa na sponsors kibao bila kusahau ilikua laivu kideoni. Nje ya wasafi kuna maisha kuna mikataba kibao wasanii wanadaka bila kupunjwa na boss wao
Nandy katoboa baada ya kumpa Ruge uchi mpaka sasa hivi Nandy ana backup ya clouds usifikiri ni pesa yake ile msanii mwenye mkwanja wa maana shilole labda ungesema huyu ningekuelewa
Ndio hivyo mkuu ndio maana nikakwambia mwanamke mwenye maendeleo bila sapoti kubwa ya watu na katoboa ni shiloleOna sasa unavyoweka chuki wazi umejitahidi weee kukwepa mpaka umeshindwa kujizuia.
Si hata zuchu anatoboa baada ya kummegea sadala ndo maana ana sapoti ya wasafi tv ama kunya anye kuku akinya bata kaharisha?
Ndio hivyo mkuu ndio maana nikakwambia mwanamke mwenye maendeleo bila sapoti kubwa ya watu na katoboa ni shilole
Sio boss wangu ebu rekebisha kwanzaHadi kufikia hapa naona somo la utapeli wa bosi wako umeshalielewa maana kwa shilole kuna nyuzi zake humu JF tafuta ujionee
Sio boss wangu ebu rekebisha kwanza
Shida hata hyo 40 hawapati.Tatizo la sadala alizidi kuwabana maana hata akipata deal la ubalozi analazimisha na wasanii wake watangaze dili hilo wakati yeye pekee ndo kasain na mshiko anapokea wote. Na pia deal nyingi za ubalozi alizidaka yeye kuliko wasanii wake
Shida hata hyo 40 hawapati.
Wangekuwa hawapati hiyo 40 wasingekuwa wanatoka wakiwa na hela wangekuwa wanatoka makapuku tuache kuingiza chuki kwenye mambo ambayo yapo waziShida hata hyo 40 hawapati.