Diamond Platnumz adai kuwa ni sahihi kuchukua mapato ya wasanii wake kwa 60%

Diamond Platnumz adai kuwa ni sahihi kuchukua mapato ya wasanii wake kwa 60%

Wangekuwa hawapati hiyo 40 wasingekuwa wanatoka wakiwa na hela wangekuwa wanatoka makapuku tuache kuingiza chuki kwenye mambo ambayo yapo wazi
Wanapewa 5. Ndio hyo wanatoka nayo kiuhalisia uwezi kutoka sehemu yenye maslahi MTU anaikubali Mia mbovu kuliko elfu kumi ya lawama , nyie ndio wale mko Radhi kufa na tai shingoni kiuhalisia hamna faida zaidi ya Jina kubwa.
 
Wanapewa 5. Ndio hyo wanatoka nayo kiuhalisia uwezi kutoka sehemu yenye maslahi MTU anaikubali Mia mbovu kuliko elfu kumi ya lawama , nyie ndio wale mko Radhi kufa na tai shingoni kiuhalisia hamna faida zaidi ya Jina kubwa.
Huyo Rayvanny katoka akiwa anamiliki club yake pale mbeya,ana Mmiliki magari mawili ya kifahari, ana studio kubwa na kavunja mkataba na Wasafi kwa 500M ingekuwa hiyo wanapewa hiyo 5 unayosema huo uwezo kaupatia wapi kumbuka Wasafi wamemchukua akiwa hana hata ngoma Moja aliyoreleese official, hana maisha na pia hana shughuli yoyote anayofanya zaidi ya kustruggle kwenye mziki maana kwenye elimu amefeli form iv.kuondoka mtu sehemu sio sababu alipwi vizuri ni kwasababu yakutaka kutengeneza empire yake kama umaarufu kashapata abaki ili iweje? lakini kuearn hela nyingi zaidi hakuna binadamu yoyote anayetosheka na ndio maana pamoja na Mawaziri kupokea mshahara wa 9M pamoja na marupurupu mengi lakini ni wapigaji wazuri wahela unasikia wanafanya Ufisadi sana
 
Back
Top Bottom