Acha kulialia Diamond analipwa na Vidacom, DSTV,Cocacola, GSM, , anauza nyimbo wasafi dotcom, anauza perfume moja tu 105,000 , anamiliki nyumba kadhaa bongo na south africa, magari kadhaa, show kadhaa anafanya ndani na nje ya nchi...
Hiyo kodi ni ndogo sana kwa kipato cha diamond.
Kuhusu kutengenezewa mazingira sijui sio tija maana huku mtaani kibanda cha duka unapigwa mikodi kibaooo mara fire, mara kuzoa taka, mara Osha, n.k
Hapo bado hujaja kwa wafanyakazi kodi wanayokatwa utaliaaaa bora huyo Diamond anachezea hata hela kununua cheni ya milioni 100