Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,013
Kinacho mponza Diamond ni sifa.
Ana piga hela ndogo tu za show na za Magumashi na za wafadhili wake wa...ung..afu anajisifu balaa. Mara choo tu 70m...
Nimenunua mjengo South 1Billion.
Mara Ooh na studio ya 300m.
Juzi tu kachambwa na Gwajima kaenda kukodi sijui Hummer. Oooh nimenunu hii ndinga kupigia misele nikiwa South.
Sasa pambana na wazee wa Number...JPM hataniii na utalipa tu...si ulikuwa unanyonga viono kwenye jukwaa la CCM ...ISOME NAMBA..
Ana piga hela ndogo tu za show na za Magumashi na za wafadhili wake wa...ung..afu anajisifu balaa. Mara choo tu 70m...
Nimenunua mjengo South 1Billion.
Mara Ooh na studio ya 300m.
Juzi tu kachambwa na Gwajima kaenda kukodi sijui Hummer. Oooh nimenunu hii ndinga kupigia misele nikiwa South.
Sasa pambana na wazee wa Number...JPM hataniii na utalipa tu...si ulikuwa unanyonga viono kwenye jukwaa la CCM ...ISOME NAMBA..