godfrey bernard
Member
- Dec 5, 2017
- 21
- 5
Si alitaka kiti nikamuachia,au anataka na kitanda aje kulalia @From Diamond platinumz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio 2 millions hata 1 million haijafika mondi anausogelea mlango wa kutokea bila kujuaanatafuta pa kushika, mana kashatelezaa.
leo siku ya tano nyimbo haijafikisha 2M viewers? tena collabo na msanii waarekani??
Kweli Clouds nawapa salute
HAHAHAAA UKIITWA BABU JINGA UTASEMAJE???????HYO UNAJUA N NN WEWE AU UJUHA TU.nyinyi ndo kweli kwa staili hyo mtake ashuke daaahLeo siku ya tano ana views laki 7 View attachment 721225
UmeSio 2 millions hata 1 million haijafika mondi anausogelea mlango wa kutokea bila kujua
Ndio uka msaidie kaka yako kupunguza stress. Ila hizo kucha we mtoto umejaaliwa.[emoji5]Wiki ya diamond..JF
Kaligalambua alimalize mwenyewe..tutasaidia kuimba pale anapotoa wimbo mzuri basiNdio uka msaidie kaka yako kupunguza stress. Ila hizo kucha we mtoto umejaaliwa.[emoji5]
Nilitaka kucomment kama wewe.Hayo mengine sawa lakini hiyo kusema hawezi kushuka kimuziki anajidanganya,ni swala la muda tu kwani huko nyuma kuna wasanii mbalimbali hata bendi zilikuwa juu kiasi cha kufikiria hivyo lakini hivi leo wamepotea kabisa katika ramani ya muziki na hata hawajulikani walipo.
Kuna siku tumewahi kujadili humu JF kuhusu hayo unayouliza. Tafuta uzi unaohusu details za ugomvi wa Sugu na Ruge. Utajifunza mengi. Kiufupi kuna syndicate mbaya kwenye muziki inayohusisha radio/tv stations, deejays, presenters na wasambazaji wa kazi zao, in such a way kwamba ukikosana na mmoja unakuwa umekosana na kundi kubwa nyuma yao! Naomba utafute hio thread niliyotaja hapo juuKomandoo anapambana na hali yake..ila kuna kitu mi bado najiuliza.
Hawa mawingu wanafanikiwa vipi kumuangusha msanii ilihali stations radio& tv zipo nyingi.!!?
Inamana wa tz wote wanaangalia na kusikiliza clouds tuuuu[emoji102]
Kama hufahamu tofauti kati ya KUSHUKA na KUSHUSHWA basi naomba tufunge mjadala...Hakuna tofauti maana ukishuka mwenyewe ama ukishushwa hatimaye utakuwa umeshuka na kama huko kushushwa wewe au yeye mnaona haiwezekani huko ndio nimesema ni kujidanganya maana yeye si mtu tofauti na hao wengine waliowezekana hivyo ni swala la muda tu hakuna kinachodumu milele katika dunia hii.
Mbona wengi tu...nadhani utafiti unatakiwa ufanyike ukute hata hali ya bundle ni utata pia watu kuzama mtandaoni (si tunawaona kule facebook ikitumwa link watu povu linavyowatoka maana facebook bure ila link kuifungua vigezo na masharti vya bundle kuhitajika)Leo siku ya tano ana views laki 7 View attachment 721225
Kweli clouds ina nguvu ndio maana wale wasanii wao akina Barnaba, Nandy etc nyimbo hufikisha 10M views in 3 days teh!anatafuta pa kushika, mana kashatelezaa.
leo siku ya tano nyimbo haijafikisha 2M viewers? tena collabo na msanii waarekani??
Kweli Clouds nawapa salute
Ngoja nikupuuze; sorry!!Kwani nani amekuambia ufungue mjadala?
Kweli aisee,Mond ndio kila mara anaonekana anakuza bifu kati yao mara maneno ya vijembe kwenye mitandao mara kwenye nyimbo alizoshirikishwa anapiga vijembe. Halafu akihojiwa anasema hataki bifu.
Huwez jua anajiamini VP mkuu, maana lusifa ina nguvu kubwa sanaHayo mengine sawa lakini hiyo kusema hawezi kushuka kimuziki anajidanganya,ni swala la muda tu kwani huko nyuma kuna wasanii mbalimbali hata bendi zilikuwa juu kiasi cha kufikiria hivyo lakini hivi leo wamepotea kabisa katika ramani ya muziki na hata hawajulikani walipo.
kwahio "hako" ka mstari ndo mmekurupuka kamjibu yooSi alitaka kiti nikamuachia,au anataka na kitanda aje kulalia @From Diamond platinumz