Diamond Platnumz aeleza bifu yake na Ali Kiba ilivyosukwa ‘kumuua Kimuziki’

Diamond Platnumz aeleza bifu yake na Ali Kiba ilivyosukwa ‘kumuua Kimuziki’

Hayo mengine sawa lakini hiyo kusema hawezi kushuka kimuziki anajidanganya,ni swala la muda tu kwani huko nyuma kuna wasanii mbalimbali hata bendi zilikuwa juu kiasi cha kufikiria hivyo lakini hivi leo wamepotea kabisa katika ramani ya muziki na hata hawajulikani walipo.
Unaweza kuwa namba moja ila uwezi kuwa namba moja milele.
Inspekta haroon babu anasema'"mlipokuwepo nyinyi hata sisi tulikuwepo na tulipo sisi sasa hata nyie mtakuja"
Wapi Afande sele, juma nature, q chief, ferouz, Mb doggy, mr nice n.k
 
Niliyoyaandika ni mawazo yangu wala sina chuki naye na hiyo ni kawaida tu na naamini kupitia humu pia anaweza kuona ushauri mbalimbali hivyo ana hiari yake kuchukua yale anayoona yanamfaa na yasiyomfaa anaachana nayo kwani kama ni mafanikio ni kwa ajili yake mwenyewe hivyo wewe huna haja ya kukwaruzana na watu ambao unaona mnatofautiana kimtazamo na kuona wale wenye mawazo tofauti basi eti wanatamani aanguke hiyo sio sawa
hamna aliyekwaruzana na mtu hapa, tuna refer mnayoyaongea humu, kifupi ni kwamba unamchukia jamaa..kama unataka afaidike na ushaur wako.kwa manufaa yake kama ulivyosema basi muache unafiki kumuonyeshea chuki humu, muende tena hua anatoa email yake, mumtumie email asome. kwanini mnakuja kujifichia huku nyuma ya keyboard...
na zaidi sisi sio wajinga kama ulivyotuita hapo chini, tuna refer chuki za wazi mnazozionesha hapa kwa backup ya whatsocall ushauri
 
Mwamba anatafuta kila huruma ili albamu ichanje mbuga hakika dogo biashara anaiweza,soooon tutasikia alizaliwa bila uchungu yaani bi Sandra alishtukia tu kijana uyu hapa.
 
Back
Top Bottom