BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
-
- #41
kwaio mpo mmekaa majumbani mwenu mnasubiri diamond afulie...aiseeeHakuna tofauti maana ukishuka mwenyewe ama ukishushwa hatimaye utakuwa umeshuka na kama huko kushushwa wewe au yeye mnaona haiwezekani huko ndio nimesema ni kujidanganya maana yeye si mtu tofauti na hao wengine waliowezekana hivyo ni swala la muda tu hakuna kinachodumu milele katika dunia hii.
wacha weeee aiseeSio 2 millions hata 1 million haijafika mondi anausogelea mlango wa kutokea bila kujua
wacha bwana aiseeLeo siku ya tano ana views laki 7 View attachment 721225
Kweli kabisa huyu atakuwa amepanda cheo freemasonHuwez jua anajiamini VP mkuu, maana lusifa ina nguvu kubwa sana
wacha bwanaAmepotea fally pupa itakua uyo bwana mdogo
Kabisa kwasababu maana MTU anayeamini Mungu wa mbinguni hawez kujiamini kiasi hichiKweli kabisa huyu atakuwa amepanda cheo freemason
Umeona mbali mkuu video za youtube zinamaliza sana mb na kwa hali ngumu ya maisha inachangia watu kutokurudia kutazama video mara mbiliMbona wengi tu...nadhani utafiti unatakiwa ufanyike ukute hata hali ya bundle ni utata pia watu kuzama mtandaoni (si tunawaona kule facebook ikitumwa link watu povu linavyowatoka maana facebook bure ila link kuifungua vigezo na masharti vya bundle kuhitajika)
kwa kauli zako.naona kama wangojea kwa hamu ashuke mpate la kusema kwamba "si tulimuambia",...Kufulia kwake hakutonisaidia chochote ndugu yangu ila majigambo na kujikweza si vizuri,hiyo tu ndio rai yangu na ndicho nilichokusudia kukieleza kwa manufaa yake mwenyewe.
Wabongo bana teh teh akifikiisha 2m views mnasema ananunua asipofikisha mnasema clouds ndo wamechangia teh teh tehanatafuta pa kushika, mana kashatelezaa.
leo siku ya tano nyimbo haijafikisha 2M viewers? tena collabo na msanii waarekani??
Kweli Clouds nawapa salute
Labda hajui bifu ni nini.Mond ndio kila mara anaonekana anakuza bifu kati yao mara maneno ya vijembe kwenye mitandao mara kwenye nyimbo alizoshirikishwa anapiga vijembe. Halafu akihojiwa anasema hataki bifu.
mond sio wale wakusahau wew ..jama atakumhukwa na mnala wake utajengwa ... Mungu atujaliye uzima tuHayo mengine sawa lakini hiyo kusema hawezi kushuka kimuziki anajidanganya,ni swala la muda tu kwani huko nyuma kuna wasanii mbalimbali hata bendi zilikuwa juu kiasi cha kufikiria hivyo lakini hivi leo wamepotea kabisa katika ramani ya muziki na hata hawajulikani walipo.
hater @ workJamaa mbona anaweweseka sana? mzimu wa Ruge awamu hii nadhani hautakuacha salama
vilaza utawajuwa tuKwa HIYO hapo hukuelewa nn sasa??
Kasema hatoshuka ama anayetaka kumshusha??
BRN mtawajua tu
shetani wishezNa bado
Na kweliWacha wafu wazikane
Sio kupotea kifedha mkuu nnamanisha kwenye raman ya mziki
siwez kufanya hivyo mana sina tatizo na yeye na siumii roho wala simchukii wala simnenei mabaya kama unavyofanya kijana mwenzangu aliyefanikiwa kimaisha.....Kwakuwa wewe uwa unakutana naye ila umeamua kuyaleta humu malalamiko yake ili upate mawazo tofauti basi naamini na yangu utayachukua umpelekee
Nikwel ila usisahau kama hyo video moja imetolewa kwenye account 3 tofauti kwenye youtube zipo 2 na vevo moja hvyo kila mtu anasearch anapotaka kabla ya kuongea hvyo ungejaribu kujumlisha viewer wote kwenye hzo account 3 uone kama hyo 2m haijafika au imepita .anatafuta pa kushika, mana kashatelezaa.
leo siku ya tano nyimbo haijafikisha 2M viewers? tena collabo na msanii waarekani??
Kweli Clouds nawapa salute
Kwenye youtube ya kwanza ana 1.7mNikwel ila usisahau kama hyo video moja imetolewa kwenye account 3 tofauti kwenye youtube zipo 2 na vevo moja hvyo kila mtu anasearch anapotaka kabla ya kuongea hvyo ungejaribu kujumlisha viewer wote kwenye hzo account 3 uone kama hyo 2m haijafika au imepita .