Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Unaweza kuwa namba moja ila uwezi kuwa namba moja milele.Hayo mengine sawa lakini hiyo kusema hawezi kushuka kimuziki anajidanganya,ni swala la muda tu kwani huko nyuma kuna wasanii mbalimbali hata bendi zilikuwa juu kiasi cha kufikiria hivyo lakini hivi leo wamepotea kabisa katika ramani ya muziki na hata hawajulikani walipo.
hamna aliyekwaruzana na mtu hapa, tuna refer mnayoyaongea humu, kifupi ni kwamba unamchukia jamaa..kama unataka afaidike na ushaur wako.kwa manufaa yake kama ulivyosema basi muache unafiki kumuonyeshea chuki humu, muende tena hua anatoa email yake, mumtumie email asome. kwanini mnakuja kujifichia huku nyuma ya keyboard...Niliyoyaandika ni mawazo yangu wala sina chuki naye na hiyo ni kawaida tu na naamini kupitia humu pia anaweza kuona ushauri mbalimbali hivyo ana hiari yake kuchukua yale anayoona yanamfaa na yasiyomfaa anaachana nayo kwani kama ni mafanikio ni kwa ajili yake mwenyewe hivyo wewe huna haja ya kukwaruzana na watu ambao unaona mnatofautiana kimtazamo na kuona wale wenye mawazo tofauti basi eti wanatamani aanguke hiyo sio sawa