Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

Hivi kuna mtu anaongoza kutaja taja majina kwenye nyimbo zake kama huyo Domo Chai jaba?

Sasa hivi chai jaba Yuko tayari kufanya chochote ilimradi apate pesa yaani Ni kama amelaaniwa.

Anataja taja majina ya watu tena sometime kwa kuwazalilisha ili atrend apate pesa.

Hii ni stage ya ajabu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwaio hata mimi msanii chipukizi nikitoa nyimbo na Rihanna leo ntakua juu ya Diamond kisa yy hajatoa nyimbo nae....acha ulimbukeni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Domokaya ana stress mno lol. Yaan kaishiwaa Kabisaaa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Tuseme basi Google ndiyo hawana akili. View attachment 2150840
Who are the top 10 most famous African singers 2021?
Ten African music stars to look out for in 2021 1 Elaine (South Africa) 2 Fik Fameica (Uganda) 3 Gaz Mawete (Democratic Republic of Congo) 4 Kabza De Small (South Africa) 5 KiDi (Ghana) 6 Omah Lay (Nigeria) 7 Sha Sha (Zimbabwe) 8 Soraia Ramos (Cape Verde) 9 Tems (Nigeria) 10 Zuchu (Tanzania)
Ten African music stars to look out for in 2021 - BBC News
 
Kushindanishwa lazima

Ingekuwa hvyo kuwa ukishawazid wenzio mbali basi usishindanishwe nao,basi PSG fc ingehama france
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…