Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

Kwenye kuwazidi hadi dhambi nimemuelewa sana,Michael Jackson aliwahi kujitapa kuwa hakuna starehe hajawahi kufanya ikiwemo kuingiliwa nyuma.
 
Hivi kuna mtu anaongoza kutaja taja majina kwenye nyimbo zake kama huyo Domo Chai jaba?

Sasa hivi chai jaba Yuko tayari kufanya chochote ilimradi apate pesa yaani Ni kama amelaaniwa.

Anataja taja majina ya watu tena sometime kwa kuwazalilisha ili atrend apate pesa.

Hii ni stage ya ajabu sana.
Tafuta pesa K wewe mwenzako kishavuka level zakuwaza atakula nini....
 
Tafuta pesa K wewe mwenzako kishavuka level zakuwaza atakula nini....
Na wewe na baba yako mmeshavuka level zipi?

20220216_225742.jpg
 
Leo hii nashangaa sana Diamond hataki tena kuwekwa kwenye tuzo za nchini kwao na amesahau kwamba tuzo hizo zilimtangaza kwa namna moja au nyingine.

Naona Domo amekuwa mshamba sana na amejisahau sana.

Kuwazidi wasanii wenzio mafanikio sio kwamba ndo umewazidi kuimba, hutaki kushindanishwa na wasanii wa ndani kwamba unawakandamiza, mbona wasanii wa Wanigeria, Marekani wanashiriki kwenye tuzo za nchi zao tena na wasanii wachanga waliowazidi kila kitu.

Domo acha maneno, wakina Wizkid, Burnaboy ni wakubwa lakini hawanaga ushamba kama huo.
Naona uneshajijibu hapo kwenye uwazidi wenzio mafanikio....
 
Namuunga mkono, kwa alipofika asishindane tena tz sababu watu wanatumia vibaya nafasi yake na effort aliyoweka ktk mziki wake wanataka shortcut kupanda kwa kumdhihaki na kujifananisha naye!

Kitu ambacho kinamshusha morali,wacha ashindane kwa watu wanapthamini mziki wake!

Huko BET, GRAMMY, VMA, AMA unakuta Beyonce, Rihanna au Lady gaga wanashindwa na Ella mai, SZA, Doja catt, belllie ellish, Dua lipa etc

Wasanii kama lil baby au taylor the creator wanawashinda watu kama drake au J cole

Bongo bado sana kujua ni nini maana ya tuzo maana watu tunaangalia jina badala ya performance..
 
Kwanini usisikikize kwaya au Qasida? Unataka ukasikilize Bongoflava na wazazi wako ili iwe nini yani??

Watu mna hoja za kitoto sana, huo mziki wa marekani wenyewe unaweza kuusikiliza ma wazazi wako kwakua tu hamuelewi kinachoimbwa, ila ikitafasiriwa hapatakalika kabisa. Kuna mziki wenye ujumbe sikuizi??

Hii ni karne ya 21th acheni kulazimisha maisha ya zama za mawe?
Live your life - TI ft Rihanna, Yesterday - Tony Braxton ft Treyzong zina matusi gani?

Na kwanini usisikilize nyimbo nzuri za kidunia mbele ya wazazi na watoto wako huoni kama unajinyima uhuru?
 
Wala sio dhambi akikataa, yaan hyo ni sawa na kulazimisha Yanga icheze ligi daraja la tatu.. So Mr Domo namuona Yuko sahihi kama amekataa kushiriki hizo tuzo
Tuzo zinaangalia performance bro sio jina lako.. Kama tuzo ni za ndani tunaangalia performance yako ya ndani, wewe nyimbo kufanya vizuri huko nje sababu ushapata fan base ya huko haimaanishi wewe hustahili local competition

Kwanza Diamond mara ya mwisho lini kutoa national anthem kama Muziki ya darasa, Iokote ya Maua sama au Sukari ya msanii wake mwenyewe Zuchu

Hiyo ikuoneshe Tu kuwa soko limeamua kuwa nyimbo zake bado kuna watu wanazipita kwa kukubalika hivyo, zinastahili kukaa category moja na wasanii wenzake
 
Huko BET, GRAMMY, VMA, AMA unakuta Beyonce, Rihanna au Lady gaga wanashindwa na Ella mai, SZA, Doja catt, belllie ellish, Dua lipa etc

Wasanii kama lil baby au taylor the creator wanawashinda watu kama drake au J cole

Bongo bado sana kujua ni nini maana ya tuzo maana watu tunaangalia jina badala ya performance..
Huyo Drake na The Weekend wamezigomea tuzo bora za music Grammy naona kwa wenzetu ni kawaida. Kama sikosei kuna wakati Nicki Minaj aliwatisha Hot 97 radio wasicheze nyimbo zake.

Kwa wenzetu ni kawaida kama hakiona hajalizika na michakato ya tuzo anaweza akawazuia wasimchague katika hizo tuzo.
 
Tuzo zinaangalia performance bro sio jina lako.. Kama tuzo ni za ndani tunaangalia performance yako ya ndani, wewe nyimbo kufanya vizuri huko nje sababu ushapata fan base ya huko haimaanishi wewe hustahili local competition

Kwanza Diamond mara ya mwisho lini kutoa national anthem kama Muziki ya darasa, Iokote ya Maua sama au Sukari ya msanii wake mwenyewe Zuchu

Hiyo ikuoneshe Tu kuwa soko limeamua kuwa nyimbo zake bado kuna watu wanazipita kwa kukubalika hivyo, zinastahili kukaa category moja na wasanii wenzake
Yy hatak kwasababu ya ukiritimba uliopo kwenye hizo tuzo, na si kwamba amedharau uwezo wa wasanii wengine. Hivyo kuzikataa sioni shida wale waliotayar washindane tu.
 
Live your life - TI ft Rihanna, Yesterday - Tony Braxton ft Treyzong zina matusi gani?

Na kwanini usisikilize nyimbo nzuri za kidunia mbele ya wazazi na watoto wako huoni kama unajinyima uhuru?
Tukileta nyimbo 100 za kizazi kipya cha Marekani sidhani kama utatoa hata nyimbo 10 za kusikiliza na wazazi, maneno kama https://jamii.app/JFUserGuide, pussy , Ass yakitafasiriwa kwa kiswahili hao wazazi watakushangaa, ni vile tu hamuelewi Kiingereza mnasikiliza beat na melody.

Kama wewe unataka ujumbe, nimekushauri vizuri usikilize sana KWAYA na QASIDA.
 
Back
Top Bottom