Diamond Platnumz aingia mkataba mnono na vodacom

Diamond Platnumz aingia mkataba mnono na vodacom

Je vodacom haitawagharimu kupunguza wateja wao,Kwa kumuweka Dai.Platnamz kuwa Balozi Wa vodacom na kuusiana na upande Wa 2(haters).
Coz vodacom mmewaharibia program yao Lupela inatoka na Diamond kuwa Balozi Wa Vodacom.Mnapaonaje hapo?
hapana mkuu...
hili swala haliwez kuathiri soko la vodacom hata kidogo...
isipokuwa me naona kufanya kaz na diamond kutawanufaisha sana vodacom...
 
Hio voda deilee mi ndo nimeona muda si mrefu kwenye tangazo la voda.....that means promo yake mnaijua na kuikuza nyie wa mitandao tu wala haina issue!
Lupela ni Lupela na voda ni voda labda kama mmeamua kuipromote pia kupitia nyuzi!
Umeona enh?! Na hiyo ndiyo sababu ya matangazo makubwa kupewa celebrities wakubwa-- au ulikuwa hujafahamu bado? Ukimpa tangazo mtu kama Diamond lazima lita-trend tu!
 
Je vodacom haitawagharimu kupunguza wateja wao,Kwa kumuweka Dai.Platnamz kuwa Balozi Wa vodacom na kuusiana na upande Wa 2(haters).
Coz vodacom mmewaharibia program yao Lupela inatoka na Diamond kuwa Balozi Wa Vodacom.Mnapaonaje hapo?
Mbona Diamond kitambo sana anafanya kazi na Vodacom!!
 
Kijana anastahili,hakika kuna fundisho kubwa kwa vijana watafutaji wanatakiwa kulipata ila kama "una akili timamu"
 
Ha ha ha, Kiba endelea kukomaa na Ubalozi wa Wanyama.
 
Kunakoekekea huko mbele,huyu dogo nategemea pia kumuona akipata endorsement deals nyingi sana tena si tz tu bali hata nje ya tanzania...save this, hiki kijamaa kina star ya ajabu saana!halafu hizi deal zinaingiza sana mkwanja,grazie platnumz!
 
Hard work pays... Diamond siyo role model ni real model. My inspiration kwenye hii quest ya kuigeuza jero kua millions.
 
mashabiki wa aina yenu ndo wanaomponza Ali Kiba...
amini usiamini hii nyimbo ya LUPELA kama diamond ataamua kuizima wala haitachukua hata wiki mbili...
ila sio jambo la ajabu sana kwa sababu hata mashabiki wa ommy dimpoz wanaamini ommy dimpoz ni mkali kushinda diamond...
hiyo ndo maana ya USHABIKI..!
Kumfananisha kiba na mond ni kumkosea adabu kiba huo ndo ukweli.... Mond saiz yake belle tu kwa kuanzia kiba mbali sana aysee #samahani lakini
 
Mambo haya ndio yamemfanya wema apatate kuchanganyikiwa hadi kubeba mimba na mtu wa hovyo kabisa
Mtu wa hovyo definition yake ni ipi?...mumshukuru Wema bas alimpa japo ABC chokoraa wenu wa tandale eenh ?..then idriss kazidiwa na diamond pesa tu apart from that jamaa ni bora kila kitu
 
Je vodacom haitawagharimu kupunguza wateja wao,Kwa kumuweka Dai.Platnamz kuwa Balozi Wa vodacom na kuusiana na upande Wa 2(haters).
Coz vodacom mmewaharibia program yao Lupela inatoka na Diamond kuwa Balozi Wa Vodacom.Mnapaonaje hapo?
Ubaloz kiba mwenyewe baloz hujui ?...tena kabinet yao ipo na watu gani hujui pia?...hahahahaaaaa hakuna kilichoharibika King still there and no one to disturb
 
Kumfananisha kiba na mond ni kumkosea adabu kiba huo ndo ukweli.... Mond saiz yake belle tu kwa kuanzia kiba mbali sana aysee #samahani lakini
kiba kamuacha diamond mbali..!!!?
ebu nipe maelezo vizuri kidogo katika hili mkuu...
amemuacha mbali kivepeeee mzee..!?
 
Waungwana si muwaachie wenye kazi zao TRA kwani ulikuwa mkataba wa siri kwamba nyie ndio mmeugundua? mbona vyombo vya habari viliitwa na yote yame anikwa nini tatizo lenu? mna fikia hadi kutoa maelekezo ya mgawanyiko wa makato dah!!.

Acha hizo wewe! Sisi tunahabarisha sheria inasemaje. Akatwe, asikatwe haituongezei sisi ugali wa wanetu! Kwani kuna mtu kasema hayo yamefanyika kwa kificho?
 
Wanatumia pesa nyingi ili Ali Kiba asiwini life. Lakini King yeye anasoma dua tu.
images (39).jpg
 
Tusichanganye mambo! Wa makontena watajibu kivyao, na huyu endapo hao Voda hawatamkata withholding tax, basi wao (voda) ndo watailipa.
Hizo habari za withholding tax kwani mondi anamaintain books of accounts?
 
Back
Top Bottom