Diamond Platnumz akiri kuwa anapenda sana nyoka

Diamond Platnumz akiri kuwa anapenda sana nyoka

Juzi almanusura tugongwe na black mamba[emoji3064][emoji3064]maskini sasa hivi chakorii angekuwa marehemu🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹

Mungu yupo jamani
Pole sana dear ilikuaje??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyo koboko Mwenyewe ni mpaka uingie anga zake na stori nyingi watu wanaweka chumvi ila bado koboko anafugika na anatumika kwa michezo hasa watu wa tanga wanawatumia sana
Koboko yupo tofauti, anapenda shari, ukiingia kwenye anga zake anakudhuru tu hata kama hujamuona..tofauti na nyoka wengine
 
Back
Top Bottom