BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Ha ha daahKashika kajinyoka,ngoja akutane na likifutu arudi tena kujinadi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha daahKashika kajinyoka,ngoja akutane na likifutu arudi tena kujinadi hapa
😔😒 pole sanaJuzi almanusura tugongwe na black mamba🥺🥺maskini sasa hivi chakorii angekuwa marehemu🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Mungu yupo jamani
Kwani dimpoz siku hizi ni msanii wa mziki?Kha anaiga sana huyu jomba kamuona tu dimpoz kamshika nyoka kwa woga basi naye akajifanya anajua kila kitu
Asante dear 🥺😔😒 pole sana
upo sawa lakini?Asante dear 🥺
Yani kitendo cha kuwa hai mpaka sasa basi lazima niwe sawa Kwa asilimia zote.upo sawa lakini?
Nmeshutushwa na hiyo taarifa yako, ni vyema kama upo sawa, mimi Sijambo kabisa.Yani kitendo cha kuwa hai mpaka sasa basi lazima niwe sawa Kwa asilimia zote.
Hujambo lakini?
Imeshapita hiyo hata sina nayo wasiwasi.cha msingi ni kuombea Ulinzi wetu na wapendwa wetu.Nmeshutushwa na hiyo taarifa yako, ni vyema kama upo sawa, mimi Sijambo kabisa.
Amen Chakorii Ahsante kushukuru🥰Imeshapita hiyo hata sina nayo wasiwasi.cha msingi ni kuombea Ulinzi wetu na wapendwa wetu.
Asante Kwa kujali😘
Roho ya nyoka, kizazi cha nyoka
Yes, kiasi chake anaimba anapoteaKwani dimpoz siku hizi ni msanii wa mziki?
😆 Kiswahili kigumuhapa mkuu sijakuelewa
Bro wako ndo yule anafanyakaz kaz sabasaba maonyesho.....Sio kweli,kuna watu wanapenda nyoka kama ilivyo kwa watu kupenda mbwa paka nk.
Nina bro wangu tangu tupo shule ya msingi alikuwa akiona nyoka anamvizia anamkamata kwa mikono karibu na kichwa anamng'oa meno anamuweka mfukoni(wa kaptura) anakuja kututishia nyumbani na shuleni,baadae anamuachia
Kwakua maranyingi tulikuwa nae akifanya hivyo nikajikuta namimi woga ukatoka nikaanza kukamata, japo Mimi nilikuwa siweki mfukoni wala kumtoa meno,namkaba karibu na kichwa nikishamchezea namrusha mbali
Yeye hata vinyonga alikuwa anakamata anamuweka begani anaingia nae darasani wanafunzi wenzake wanatoka mbio.
Kuna wale buibui wakubwa sana wanakuwa na tumbo kubwa,wanatembea taratibu, anachumkua anamnatisha mgongoni kwenye shati halafu anajifanya kamsahau anakuja nae nyumbani au anaenda nae shuleni.
Kwahio naamini wapo wanaopenda nyoka.
Hujaona kaandika black mamba?Ohoo pole Sana sister. Alikuwa nyoka gani?
[emoji3][emoji3]Bro wako ndo yule anafanyakaz kaz sabasaba maonyesho.....
Ndiyo kwanza bado tupo January lakini Diamond platnumz tayari ameshatoa video bora ya mwaka 2024, kitu gani umekipenda kutoka kwenye hii video ya "yatapita".?
Bosi wa WCB Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz amejipatia mnyama aina ya nyoka wa kuweka nyumbani.
Katika tangazo lake kwenye Instagram, mwanamuziki huyo alibainisha kuwa siku zote kumiliki nyoka kipenzi imekuwa ndoto yake.
Staa huyo wa Bongo mwenye umri wa miaka 32 alimtambulisha nyoka huyo wake kama rafiki yake mpya.
"Siku zote nimekuwa na shauku ya kuwa na nyoka wangu kama kipenzi [emoji3590][emoji216].. jameni tukutaneni na rafiki yangu mpya," alitangaza siku ya Ijumaa.
Aliambatanisha ujumbe huo na video yake akicheza na mnyama huyo anayeteleza huku kundi kubwa la watu wakiwa wamemzunguka.
Katika video hiyo, Diamond alisikika akikiri upendo wake mkubwa kwa nyoka na kueleza furaha yake kwa kumpata wa kufuga nyumbani
"Huyu mimi namfuga mnyama huyu nyumbani. Mimi napenda nyoka sana," alisika akisema.
Umati ulitazama kwa udadisi alipokuwa akichezea na nyoka huyo kwa usaidizi wa mwanamke aliyekuwa akimuonyesha jinsi ya kumshika. Hakuonesha uoga wowote na badala yake alionekana kufurahi sana kumshika.
Mwimbaji huyo anayetambuliwa kote duniani alifichua kwamba nyoka huyo wake atatambuliwa kwa jina Chichi.
Katika hali ya kawaida nyoka sio wanyama wa kupendwa miongoni mwa watu wengi. Wengi wa wanyama hao wana sumu ambayo inaweza kusababisha kifo au ugonjwa mbaya mara tu wanapomng'ata mtu.
Baadhi ya jamii za Kiafrika huhusisha mnyama huyo na uchawi na hivyo kamwe hawawataki karibu nao. Wale wanaofuga wanyama hao mara nyingi huchukuliwa kuwa wanashiriki katika uchawi.
ningekupoteza kipenzi,pole sanaJuzi almanusura tugongwe na black mamba🥺🥺maskini sasa hivi chakorii angekuwa marehemu🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Mungu yupo jamani