Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Utajiri wa kibegi ndani ya kibegi kuna nyoka unakuta kila akikua na utajiri unaongezeka mambo ya ngende kusini huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ulishakutana nae au unaongea tu. Mimi nimeandika kutokana na nimeshayaona hayo sisemi stori tu na japo wametolewa sumu ila badi wanakua na tabia za kugonga ukimshika hana meno ila atafanya kama vile anakuuma wewe umejazwa stori za mitaani mara anaota nywele kama kiduku mara anakimbia akiwa kasimama hizo ni stori zawatu ila uhalisia bado koboko sio nyoka hatari zaidi japo anasumu kali sanaHujakutana na koboko bro ,
Nyoka jau sana aise
Bosi wa WCB Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz amejipatia mnyama aina ya nyoka wa kuweka nyumbani.
Katika tangazo lake kwenye Instagram, mwanamuziki huyo alibainisha kuwa siku zote kumiliki nyoka kipenzi imekuwa ndoto yake.
Staa huyo wa Bongo mwenye umri wa miaka 32 alimtambulisha nyoka huyo wake kama rafiki yake mpya.
"Siku zote nimekuwa na shauku ya kuwa na nyoka wangu kama kipenzi ❤️🐍.. jameni tukutaneni na rafiki yangu mpya," alitangaza siku ya Ijumaa.
Aliambatanisha ujumbe huo na video yake akicheza na mnyama huyo anayeteleza huku kundi kubwa la watu wakiwa wamemzunguka.
Katika video hiyo, Diamond alisikika akikiri upendo wake mkubwa kwa nyoka na kueleza furaha yake kwa kumpata wa kufuga nyumbani
"Huyu mimi namfuga mnyama huyu nyumbani. Mimi napenda nyoka sana," alisika akisema.
Umati ulitazama kwa udadisi alipokuwa akichezea na nyoka huyo kwa usaidizi wa mwanamke aliyekuwa akimuonyesha jinsi ya kumshika. Hakuonesha uoga wowote na badala yake alionekana kufurahi sana kumshika.
Mwimbaji huyo anayetambuliwa kote duniani alifichua kwamba nyoka huyo wake atatambuliwa kwa jina Chichi.
Katika hali ya kawaida nyoka sio wanyama wa kupendwa miongoni mwa watu wengi. Wengi wa wanyama hao wana sumu ambayo inaweza kusababisha kifo au ugonjwa mbaya mara tu wanapomng'ata mtu.
Baadhi ya jamii za Kiafrika huhusisha mnyama huyo na uchawi na hivyo kamwe hawawataki karibu nao. Wale wanaofuga wanyama hao mara nyingi huchukuliwa kuwa wanashiriki katika uchawi.
Kisebengo [emoji23][emoji23]Huyo ajakutana na nyoka bado hicho kisebengo mbona kitakata chenyewe.
Kumaintain umaarufu ni gharama kubwa sana. Tayari kashaingia huko kwa Masih DajjalSiku zote nimekuwa na shauku ya kuwa na nyoka wangu kama kipenzi ❤️🐍.. jameni tukutaneni na rafiki yangu mpya," alitangaza siku ya Ijumaa
Kauki ya Diamond kama ni kweli basi watu wakae nae kwa umakini mkubwa sana.Anataka utajri ule wa kibegi 50M /day
Ndugu yangu we acha tu🥺🥺Pole ilikuaje mpka mkawa mazingira ya BM
Kifutu nimpka umchokoze au umkute anahasira aise!!Kashika kajinyoka,ngoja akutane na likifutu arudi tena kujinadi hapa
Huyo jamaa ukimuona timua mbio.Bro hujakutana na koboko aka black mamba!
Ni nyoka mwenye visasi balaa
Anatolewa sumu?au kuna namna gani mtu hufuga black mamba na akaendelea kubaki salama?Huyo koboko Mwenyewe ni mpaka uingie anga zake na stori nyingi watu wanaweka chumvi ila bado koboko anafugika na anatumika kwa michezo hasa watu wa tanga wanawatumia sana
Ni upuuzi mtupu kuja kucomment kwenye uzi kama huu😀😀Upuuz mtupu unalet habr kam hii et anapend nyokaaa
Ndio😊Kisebengo [emoji23][emoji23]
Juzi almanusura tugongwe na black mamba🥺🥺maskini sasa hivi chakorii angekuwa marehemu🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Mungu yupo jamani
Halafu watu wa afya ndio alama yaoNyoka ni Alama ya Shetani ova
Ohoo pole Sana sister. Alikuwa nyoka gani?Juzi almanusura tugongwe na black mamba[emoji3064][emoji3064]maskini sasa hivi chakorii angekuwa marehemu🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Mungu yupo jamani
Koboko nimekutana naye mara mbili katika mihangaiko yangu, ni near death experience na wala sitaki kukutana nazo tenaWw ulishakutana nae au unaongea tu. Mimi nimeandika kutokana na nimeshayaona hayo sisemi stori tu na japo wametolewa sumu ila badi wanakua na tabia za kugonga ukimshika hana meno ila atafanya kama vile anakuuma wewe umejazwa stori za mitaani mara anaota nywele kama kiduku mara anakimbia akiwa kasimama hizo ni stori zawatu ila uhalisia bado koboko sio nyoka hatari zaidi japo anasumu kali sana