Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Mleta mada umetupa matango pori. Nyoka wengi hawana sumu ya kuleta madhara makubwa. Nyoka wenye madhara hawazidi hata asilimia 20.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Black mamba kaka 🥹🥹
Ndagu tafsiri yake ni nini kwa kiswahiliwatu wa kigoma sishangai.
wasukuma tunasema ndagu
Nyoka ni nyoka tu tusisanganyane hapa wewe hata huyo unaye muhita kadogo mkuu uwezi kushika.Kisebengo [emoji23][emoji23]
Duh,pole sana.Black mamba kaka 🥹🥹
Kaka we acha tu aise..mngekuja kugundua nimeshazikwa tayari aise 💔💔Duh,pole sana.
Ningekukosa asee maana nasikia koboko ni nyoka hatari Sana na anaua watu hata sita kwq muda mfupi tu.
Dah.Kaka we acha tu aise..mngekuja kugundua nimeshazikwa tayari aise 💔💔
😁😁wewe najua ungepiga simu ukakutana na sauti mpya isiyonabashasha yenye taarifa mbaya.
Kuna watu watatu humu wangestuka baada ya kuona sipatikani whatsap.🥹
Sio kweli,kuna watu wanapenda nyoka kama ilivyo kwa watu kupenda mbwa paka nk.Kiasili hakuna binadamu anaependa nyoka.
TobaaaaaJuzi almanusura tugongwe na black mamba[emoji3064][emoji3064]maskini sasa hivi chakorii angekuwa marehemu🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Mungu yupo jamani
Nimewaona wa TangaHuyo koboko Mwenyewe ni mpaka uingie anga zake na stori nyingi watu wanaweka chumvi ila bado koboko anafugika na anatumika kwa michezo hasa watu wa tanga wanawatumia sana
Ndio hivyo BS..Tobaaaaa
Pole sana
Una bahati sana, Mungu mkubwa
Huyo ana hasira za kuzaliwa nazo ni zaidi ya shetani yaani akikuona tu anaanza kukimbiza hata liwe gari
Ukifunga break apite kosa anaingia uvunguni mpaka kwenu
Wanawatoa meno ila inabidi uwe na ujuzi wa kucheza nae piaNimewaona wa Tanga
Hivi wanawatoa sumu maana wanawachezea kama toy
Kweli kabisaNdio hivyo BS..
Mungu ni mwema kila wakati yani.
Ana miaka 33, miezi mitatu na siku 21, mpaka hivi leo acha kumshushia miakaStaa huyo wa Bongo mwenye umri wa miaka 32