Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 823
- 372
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kamba kaenda kwa ajili ya huu wimbo
mzima,nimeshangaa ulichoandika wakati sasa hiv nimetoka kutumpia picha za matukio yote kwenye interview....ambazo badae wenzako watazidownload watengeneze exclusive story huku,muwe mnaniuliza basi kuliko kujiongelea kwa vile tu mna hasira na mimi..sawa mkuu ?? warumi
Iyo picha ya chini mbona ngu zinafanana na zile dada zetu wanazovaa siku hizi
Huko walitumia lugha gani wakati wa interview?.just curious!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Watz waajabu sana. Yan chakwenu unakiponda? Wakenya wanawasifia mpaka wacheza ngoma kikubwa they belongs to them. In tz? I wonder n they are definetely blessed.
huo uso akiukunja hivyo ndo unapunguza ukubwa wa mdomo??
duh... jamaa anawika!
ila mavazi yake ndo yananiacha hoi!!
![]()
Anahojiwa kwa Lugha gani vile?
hahahaa!! mi nna mguu mwingi sana aisee!!Vipi hizo skunaaa(viatu) nipo huku nigeria nikuletee!
halafu kapiga picha kwa toilet kabisa duuhh.duh... jamaa anawika!
ila mavazi yake ndo yananiacha hoi!!
![]()