Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
TRA wakimfuata alipe kodi anaanza kulia kuwa hakulipwa 17m, zilikuwa kiki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyu mpeni Manara apunguze maumivu.
Sasa Dola $705 ndo 17M 😂😂😂 Kuna muda unatamani unyamaze ila watu wanalazimisha usemeVideo Vixen aliyeigiza kama Zuwena kwenye wimbo wa msanii Diamond Platnumz amesema kuwa alilipwa kiasi cha shilingi milioni 17 kutokea katika video hiyo. Binti huyo amesema alilipwa kiasi hicho kwa Dola za Kimarekani ambazo zilikuwa ni dola 705.
View attachment 2508024
Au Kuna magazijuto ndani ya hii hesabu 😂/dola 705 inakujaje kuwa milion 17
/nisaidieni hizi hesabu nizielewe vizuri
Watu bwana, yaani leo hii dolla 705 za Marekani ni milioni 17 za Kitanzania kweli? Jamani jipangeni, msilete habari za kijinga humu JF.Video Vixen aliyeigiza kama Zuwena kwenye wimbo wa msanii Diamond Platnumz amesema kuwa alilipwa kiasi cha shilingi milioni 17 kutokea katika video hiyo. Binti huyo amesema alilipwa kiasi hicho kwa Dola za Kimarekani ambazo zilikuwa ni dola 705.
View attachment 2508024
Waandishi wa habari Tanzania hasa hawa mabishoo ni useless kabisa......hawajuwi lolote japo wanashinda mitandaoni kutafuta story ila kichwani hawana kitu.Sishangai juu mwaka fulani Marioo alitoka SA, akawa anahojiwa na Wasafi tv (refresh). Kuhusu meno yale ya dhahabu alinunua kiasi gani?? [emoji23][emoji23]nilicheka mnoo na kumdharau Omary kwa ushamba na urongo kutufanya watu wajinga.
Alisema “nimenunua kwa dollars elfu hamsini($50,000), alafu akaongezea kwa Tsh ni kama Million saba (7) hivi[emoji28][emoji28][emoji28]
Nilimdharau mnoo[emoji706]
Wajinga hawa/dola 705 inakujaje kuwa milion 17
/nisaidieni hizi hesabu nizielewe vizuri
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.
Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.
Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.
Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.
Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
YAANI dola 705 ndo iwe milion 17Video Vixen aliyeigiza kama Zuwena kwenye wimbo wa msanii Diamond Platnumz amesema kuwa alilipwa kiasi cha shilingi milioni 17 kutokea katika video hiyo. Binti huyo amesema alilipwa kiasi hicho kwa Dola za Kimarekani ambazo zilikuwa ni dola 705.
View attachment 2508024
Nadhani(I might be wrong though) alikuwa ataka kusema 7,500 ila kutokuzijua dollars akajikoroga, lakini ilipofika point ya pesa kubadilishwa na kuwa za madafu ndipo akajua thamani halisi.$ 705 ni sawa na 17m za kibongo?
Labda alipewa $727.428325 ambayo kwenye kuitaja aka approximate $705, ambapo kwenye ku convert alikosea figure na kutamka 17m badala ya 1.7mNadhani(I might be wrong though) alikuwa ataka kusema 7,500 ila kutokuzijua dollars akajikoroga, lakini ilipofika point ya pesa kubadilishwa na kuwa za madafu ndipo akajua thamani halisi.