Diamond Platnumz alinilipa milioni 17 kuigiza kama Zuwena kwenye video yake

Diamond Platnumz alinilipa milioni 17 kuigiza kama Zuwena kwenye video yake

Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.

Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.

Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.

Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.

Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
Huu ni mtambo.
 
TRA wakimfata analia lia alafu analipa M 17 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa wanawafanya watoto vijana waone kama maisha marahisi sana
Maana sahvi kila mtoto anataka kuwa mkata mauno mwimba mziki sjui video vixen [emoji1]

Ova
 
Sisi ndugu zake wa huku itilima baada ya kuona kasema kapata m17 tumempigia Simu atupatie hata lak 2 kwa ajil ya mbolea kasema ule n uzush tu badala yake katuambia tumtumie gunia la michembe kwan mjin daslam Hali n mbaya Hana hela
 
Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.

Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.

Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.

Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.

Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
Heee
Basi me nikipakwa make up nikawa video vixen nitalipwa M50
 
Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.

Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.

Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.

Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.

Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
Na aliyempaka hiyo make up atafutwe achapwe
 
Hawa wanawafanya watoto vijana waone kama maisha marahisi sana
Maana sahvi kila mtoto anataka kuwa mkata mauno mwimba mziki sjui video vixen [emoji1]

Ova
Yes, ndio kuna demu mmoja hivi ana makalio makubwa ila sura ya baba, nae kasema hafanyi bila 10m.. hiyo video yake ilitrend,
 
Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.

Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.

Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.

Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.

Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
ila we jamaa🤣🤣
 
Back
Top Bottom