M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Hapo inategemea kama baada ya kubadili walipata 1.7m au 17m.Labda alipewa $727.428325 ambayo kwenye kuitaja aka approximate $705, ambapo kwenye ku convert alikosea figure na kutamka 17m badala ya 1.7m
Huu ni mtambo.Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.
Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.
Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.
Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.
Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
Hawa wanawafanya watoto vijana waone kama maisha marahisi sanaTRA wakimfata analia lia alafu analipa M 17 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HeeeHuyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.
Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.
Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.
Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.
Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
acha ccm iwatawale watanzania, si kwa ujinga huo dola 705,iwe 17m dah$ 705 ni sawa na 17m za kibongo?
Na aliyempaka hiyo make up atafutwe achapweHuyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.
Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.
Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.
Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.
Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417
Huyo demu hajui kituDola 700 hata 1.5m inafika kweli
Yes, ndio kuna demu mmoja hivi ana makalio makubwa ila sura ya baba, nae kasema hafanyi bila 10m.. hiyo video yake ilitrend,Hawa wanawafanya watoto vijana waone kama maisha marahisi sana
Maana sahvi kila mtoto anataka kuwa mkata mauno mwimba mziki sjui video vixen [emoji1]
Ova
Hesabu ni ngumu kwa kweliAu Kuna magazijuto ndani ya hii hesabu 😂
Labda alikua na nia ya kweli kusema 1.7m ila ndio vileWajinga hawa
ila we jamaa🤣🤣Huyu alikaririshwa cha kusema. Hapo alifundishwa aseme $7500 lakini sababu ya mawenge ya kutokujua dola akataja $705.
Nina hakika kama kapewa hela nyingi sana basi 500,000. SIjui hata kama anajua milioni 5 inafananaje achilia mbali hiyo 17 anayoongelea.
Diamond kafuata cheap labour hapo. Alijua angechukua hao wanaojiita ma video vixen ingebidi atoe hela ndefu.
Ni swala la muda tu huyu atakuja kuibuka kuwa hakulipwa ama alipunjwa malipo.
Pia tujiandae na yeye keshakuwa 'selebriti' ataanza kuita press conference, atakuwa na mabifu na wadada wa mjini na akipendeza kidogo ma star wakibongo wataanza kumlala.
View attachment 2508416
View attachment 2508417